Recent content by ikia

  1. ikia

    Wanyama wasioishi kwa wasiwasi ndani ya Pori, ila wakikutana ni Battle ya Kufa au Kupona

    mfalme wao ni Nyegere,mbabe asiyeshindika,jeuri,kibri na sio mwoga.
  2. ikia

    Trump Katukosea?

    Trump yuko sahihi kwa 100%.Yupo kwake anawagombeza maHB na maHG wake kuruhusu wageni wachafu kuingia nyumbani kwake hata ukinuna haisaidii.Kama unaamini we sio mchafu zila usende kwake na kama kweli we ni mchafu jisafishe ili akukalibishe kwake.
  3. ikia

    Baraza la Mapinduzi: Bado lipo?

    mwenyewe umejionea,hakuna kitu kama hicho,wanakimbizana tu kama migambo yetu.
  4. ikia

    Ukaguzi huu wa Trafiki ni mpya au tunataka tu kutafutiana dhambi mwaka bado mbichi hivi?

    Na nyie madereva mnaboa sana barabarani,unakuta njemba la miraba minne kilo zaidi ya mia katuna nyuma ya usukani wa staleti mkanda umembana na macho yamemtoka kama akunya choo kigumu.
  5. ikia

    Tundu Lissu amtaja Amani Kaborou kuwa ndiye Katibu mkuu wa kwanza wa CHADEMA

    wapi na lini Lissu kakashifu nchi na hiyo ramli ya kujua maadui wa nchi kakufunda kungwi gani?
  6. ikia

    Makamba: Uongozi ni koti la kuazima

    tumkomalie tu mpaka akatubu,haya mengine tuyaache kwanza.
  7. ikia

    Donald Trump: Marekani tunautambua mji wa Jerusalem kama makao makuu ya Israel

    Na ndio tabu ya wakristo wetu wa kuungaunga ,wao hudhani mayaudi ni wakristo.
  8. ikia

    Tanzania ya Nyerere sio hii

    9.Walihudhuria mazishi ya mbwa Arusha.
  9. ikia

    Lindi - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Nachingwea Massala wa ccm kapita na Liwale cuf wamechukua na.halmashauri .
  10. ikia

    GE2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

    akijitangaza tena mtaufuta tena au?
  11. ikia

    Nchimbi tulia,ni kawaida ya CCM kutofuata kanuni na katiba..

    (sikukumwona). ... . .....kwani wewe ni mmakonde?
  12. ikia

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Kazi sio rahisi kama mnavyodhani, huenda ikatufikisha usiku wa manane.Kwa sasa tuna majina matatu,mwanamke mmoja,mzanzibar pamoja na Magufuri,endeleeni kuwa na subira.
  13. ikia

    Edward Lowassa special thread

    mi simpendi ila simchukii
Back
Top Bottom