Nyie hamtaki maridhiano lakini maisha yanaendelea mwaka utaisha,miaka kisha 2030 hiyo hapo na uchaguzi mwingine utafanyika na hamtafanya kitu....kama mlishindwa kuchukua nchi kipindi kile ambapo mlikuwa na "trained troops"...Leo hamtachukua kabisa ..never ever .
Ushauri wangu ni Bora mkubali...
Yaani oct 29 kilichokuwa kimesalia ni BAKWATA TU..nchi ilikuwa imeenda..ashukuriwe nyerere aliyeunda hii taasisi ambayo 100%huwa Iko sambamba na serikali...
Lakini taasisi za kikristo zipo huru Wala hamna mkono wa serikali kwa sababu wanajua kwenye mafundisho Yao hamna jipya...
Ndo utawasikia...
Jamiiforum imekuwa ya hovyo sana siku hizii...unaongeaje jambo kubwa kama hili bila USHAHIDI???
yaani ukisema TU sisi tuamini??
..acha chuki binafsi otherwise uwe na ushahidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.