Ww unaiita ya kipumbavu ila Kuna wengine wanalia na kupiga magoti kwa Mungu kila siki waupate ualimu...
Mfano kwenye ziara za pm Kuna mwl alilia na kupiga magoti Kwa pm kisa kuomba Kaz ya ualimu...
NB:kamwe usije kudharau KAZI ya mwingine Kwa Sababu ww Mungu amekuneemesha kazi yenye maslahi...
Yaani hatutakuja kujichanganya kuwapa URAIS makabila makubwa kama wasukuma..
Yaani jamaa yenu alijaza wasukuma kila sehemu ..kama nchi tulifika pabaya sana..
Mtu ambaye binafsi alifanya makubwa kwa kuanzisha taasisi almost zote ni Mkapa..lakini haimbwi coz kabila lake ni 'minority'...
Magu...
Hivi huwa mnasoma shule mnaelewa kweli au mnakariri TU?
Tanzania ni muungano wa nchi mbili
1.Tanganyika
2.Zanzibar
Na muungano ni baadhi ya mambo TU siyo yote..
Mfano kule Kuna vikosi vya kmkm huku hatuna..pia wanna Baraza la mitihani primary na form 2..nk
Kusema ni sehemu ya Tanzania sio kweli...
Halafu mwingulu ana mzidi mbali sana majaliwa..mwigulu ni smart tofauti na huyo zoba wenu aliyekuwa anapelekeshwa na magu na MaMa amempelekesha mno mpaka akamwona hawezi kazi akamwekea biteko..
Nyinyi waroma mnamtaka coz mtimize malengo yenu kwa sababu jamaa anawatii 100%..na mnamwandaa...
Hivi mkuu unamjua majaliwa vizuri? Wife wake ni mroma lialia na anashiriki Ibadan 100%.
Nina wasiwasi kama majaliwa hajabadilishwa dini ni huyu mama..
Na hata makofi mengi huwa anapigiwa na waroma kupitia her wife coz wanamjua vizuri...
Ww jiulize mbona ameshiriki makusanyiko mengi tu na wala...
Hivi ukiambiwa utoe ushahidi wa unayosema utatoa??mnajichumia dhambi za Bure TU ..yule bwana alikufa kwa kifo cha ahadi..siku yake ilifika Wala hakuuliwa
Kwani oct 29 hakikunuka?..shida ya huyo muhuni wenu hajui kukaa na jambo ..yy ni lopolopo..hapo angekaa kimya mkawa mnapanga mambo yenu kimyakimya labda Leo tungekuwa tunaongea mengine..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.