Recent content by IKEKERA

  1. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Huku gharama za maisha zikizidi kupanda, serikali haramu yaipa serengeti boys Tsh Milioni 500.

    Mtasema mchanaaa...usiku mtalala
  2. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa taifa lina mpasuko mkubwa sababu WanaCCM mtandao wamegeuza keki ya taifa kuea mali yao na kesi ya Lissu imeongeza chuki dhidi ya watawala

    Yaani haya maneno yenu mwisho ni 2030..akija rais mgalatia mtapotea wote na hizo ID zenu feki..hakutakua tena na mambo ya haki Wala nepotism..bali nikuunga mkono TU.. Save my comment
  3. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Hakuna aliyewahi kupambana na CHADEMA akashinda. Sisty Nyohoza utakuwa wa kwanza

    Mpango wa Mungu yupi?? Chadema ni kikundi sawa na Cha Joseph kony..
  4. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa taifa lina mpasuko mkubwa sababu WanaCCM mtandao wamegeuza keki ya taifa kuea mali yao na kesi ya Lissu imeongeza chuki dhidi ya watawala

    Usitusemee ..jisemee mwenyewe.. Mimi binafsi huu ndo utawala naoupenda kuliko tawala zote... Nampenda sana samia
  5. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Huwezi kutumia Risasi Kuonya Vijana

    Chadema ni kapu la kutupia matapishi...na hapo wameshamwamini ni mwanzao..siasa ni akili ..chadema ni nyumbu yaani hapo wamesahau jamaa ametoa Siri zao 100% na ccm hawana kazi nae tena ...wamempa task ili aendelee kupewa posho arudi tena alete mipango mipya.. KaZi Ni mOyO
  6. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Kwanini tume za Samia kuhusu 'Ghasia za Uchaguzi' mwaka 2025 zinaongozwa na Waislamu?

    Udini udini udini... Hayo ni majina tu Wala hayana uhusiano na uislam...kwani hana sifa za kuwa mwenyekiti ?? Namdharau sana mtu anaehoji vitu kwa mrengo wa kidini...
  7. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Dangote, you need to remember: Samia will not be the president of Tanzania forever!

    Humu dangote hayupo...nenda kamwandikie kupitia account yake ya Twitter (x)..
  8. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nilishwaambia, palipo hazina ya mtu ndio moyo wake ulipo. Kila mkutano wa chama makapu yapitishwe, watu wachangie pesa

    Mkuu ni hasira za kikundi chenu cha kigaidi mlichokuwa mnakifundisha huko porini...hasira za watanzania wasingeweza kuzizuia na serikali ingekufa..
  9. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Ni vizuri Mama Samia anapoteza nguvu ndani ya CCM

    Mimi nampenda..
  10. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Ni vema kumfahamu zaidi FORTUNATUS BUYOBE ili kujiweka salama

    Nyinyi ni NYUMBU...yule ambaye yupo serious na kazi huwezi kumjua hata siku moja...ambao wapo kazini hapo ni wengi sana na wengi bado ni 100% trusted na chadema...
  11. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Heche: Huwezi kuua halafu mambo yakaisha tu, Mungu alimwambia Kaini hautakuwa salama

    Kwann nyie wafuasi wa chadema mnachowaza ni matusi tu?huwa hamjui kujenga hoja..?
  12. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Heche: Huwezi kuua halafu mambo yakaisha tu, Mungu alimwambia Kaini hautakuwa salama

    Kuna tume nyingine ya kuchunguza jinai na lazima mtakamatwa tu ...maana mliwaweka wale watoto wadogo kama ngao huku nyinyi mkibaki majumbani
  13. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Heche: Huwezi kuua halafu mambo yakaisha tu, Mungu alimwambia Kaini hautakuwa salama

    Tume ilisema watu walifadhiliwa ...sasa waliofadhili ni chadema ..
  14. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Heche: Huwezi kuua halafu mambo yakaisha tu, Mungu alimwambia Kaini hautakuwa salama

    Heche atakuwa 'zero upstairs ".. Binadamu tumeumbwa kusahau na vile vile kwa sisi waamini dini ukifanya kosa unatubu unasamehewa na maisha yanaendelea ...watu wanafiwa na wake,watoto nk lakini baada ya muda mchache TU wanasahau.. Hata ya oct 29 watu wamesahau na wanaendelea na kazi zao... Ni wao...
Back
Top Bottom