Recent content by IKEKERA

  1. IKEKERA

    PostGE2025 Odero avuliwa uanachama CHADEMA. Alikuwa akipigia chapuo maridhiano!

    Nyie hamtaki maridhiano lakini maisha yanaendelea mwaka utaisha,miaka kisha 2030 hiyo hapo na uchaguzi mwingine utafanyika na hamtafanya kitu....kama mlishindwa kuchukua nchi kipindi kile ambapo mlikuwa na "trained troops"...Leo hamtachukua kabisa ..never ever . Ushauri wangu ni Bora mkubali...
  2. IKEKERA

    Rais ajaye bila kutumia elimination method hatoboi

    Mnamharibia TU mzee wa watu...makonda alisema hawezi kupewa u pres..
  3. IKEKERA

    Emmanuela Mtatifikolo ajitosa kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Isimani

    Sio yule mrembo wa vangimembe?
  4. IKEKERA

    Kuna muda nahisi watoto wangu hawaijui hali halisi ya maisha naogopa wakija kuyajua ukubwani bila uangalizi watajifunza kwa maumivu na aibu

    Umeandika vizuri sana mkuu like AI..nadhani ww ni kutoka familia masikini then ukajipata ..
  5. IKEKERA

    Vijana Chadema Lissu hajajisalimisha na hatajisalimisha

    Hivi mkuu unamsikiliza huyu bwabwa..?
  6. IKEKERA

    Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Sasa waanze no reform no election uchaguzi wa 2030!!
  7. IKEKERA

    Naona mpasuko mkubwa wa mahubiri kwenye nyumba zetu za ibada kati ya mashehe, wachungaji/mapadre na Serikali

    Hata akiingia rais mgalatia lazima bakwata itakuwa upande wake
  8. IKEKERA

    Anjela Kizigha ni nani, Kwanini pamoja na lundo la kashfa bado anateuliwa Ubunge?

    Yatosha mtu kuwa muongo Kwa kisimulia Kila anachoambiwa...
  9. IKEKERA

    Naona mpasuko mkubwa wa mahubiri kwenye nyumba zetu za ibada kati ya mashehe, wachungaji/mapadre na Serikali

    Yaani oct 29 kilichokuwa kimesalia ni BAKWATA TU..nchi ilikuwa imeenda..ashukuriwe nyerere aliyeunda hii taasisi ambayo 100%huwa Iko sambamba na serikali... Lakini taasisi za kikristo zipo huru Wala hamna mkono wa serikali kwa sababu wanajua kwenye mafundisho Yao hamna jipya... Ndo utawasikia...
  10. IKEKERA

    Anjela Kizigha ni nani, Kwanini pamoja na lundo la kashfa bado anateuliwa Ubunge?

    Kumbe "umeambiwa" nikajua source ni ww...za kuambiwa changanya na zako
  11. IKEKERA

    Heshima uliyojijengea kwa miaka zaidi ya 50, usiiharibu kwa vipande 30 vya fedha

    Sasa Muslim wameingiaje hapo we p0p0ma?
  12. IKEKERA

    Askofu Kinyaiya: Ukistaafu nenda kwako kapumzike, Usitese watu nyuma ya mwingine

    Kama oct 29 mlishindwa kuchukua nchi..the rest is like playing a gitta for dog to play..it will never happen... Mtaishia kupiga kelele tu
  13. IKEKERA

    Kisa ni mtoto wa Rais ndo muagizaji wa mafuta nchini

    Jamiiforum imekuwa ya hovyo sana siku hizii...unaongeaje jambo kubwa kama hili bila USHAHIDI??? yaani ukisema TU sisi tuamini?? ..acha chuki binafsi otherwise uwe na ushahidi
  14. IKEKERA

    Kwenye siasa Godfather wako akishaondoka umekwisha

    Ile hashtag "no reform no election" Sasa hivi haipo?
  15. IKEKERA

    Ukiwa na mgonjwa hospitali akikutuma kitu dukani, usiende

    Mimi mzee wangu alifariki nikiwa namwona mwanzo mwisho..
Back
Top Bottom