Recent content by IKEKERA

  1. IKEKERA

    Nitaendelea kuwalaumu wakoloni kwanini hawakusisitiza elimu kwa mtu mweusi ila waliona dini ndio muhimu?

    Mkuu sio dhahania ni kweli kina kwenda peponi au motoni..
  2. IKEKERA

    Serikali kupanga upya walimu kulingana na ngazi za elimu, wenye diploma kufundisha elimu ya msingi

    Ww unaiita ya kipumbavu ila Kuna wengine wanalia na kupiga magoti kwa Mungu kila siki waupate ualimu... Mfano kwenye ziara za pm Kuna mwl alilia na kupiga magoti Kwa pm kisa kuomba Kaz ya ualimu... NB:kamwe usije kudharau KAZI ya mwingine Kwa Sababu ww Mungu amekuneemesha kazi yenye maslahi...
  3. IKEKERA

    Wazo: Tarehe 17 Machi iwe siku ya mapumziko na iwe ni siku ya kumbukumbu ya Marais waliotangulia

    Yaani hatutakuja kujichanganya kuwapa URAIS makabila makubwa kama wasukuma.. Yaani jamaa yenu alijaza wasukuma kila sehemu ..kama nchi tulifika pabaya sana.. Mtu ambaye binafsi alifanya makubwa kwa kuanzisha taasisi almost zote ni Mkapa..lakini haimbwi coz kabila lake ni 'minority'... Magu...
  4. IKEKERA

    Je, wafahamu tafsiri ya makofi anayopigiwa Kassimu Majaliwa? Mlinzi wake kuwa MAKINI usibweteke inaweza kula kwako soon

    Ni kweli kabisa ...na ukisikia serikali inanuka kwa rushwa na uzembe ..ujue ni wao ndo wamesababisha
  5. IKEKERA

    Nchi ya Tanzania Haina Dini kuweka masharti yoyote ya kidini ni kinyume Cha katiba ya nchi kufunga sio Sheria ya nchi viongozi wasiwe wanafiki

    Hivi huwa mnasoma shule mnaelewa kweli au mnakariri TU? Tanzania ni muungano wa nchi mbili 1.Tanganyika 2.Zanzibar Na muungano ni baadhi ya mambo TU siyo yote.. Mfano kule Kuna vikosi vya kmkm huku hatuna..pia wanna Baraza la mitihani primary na form 2..nk Kusema ni sehemu ya Tanzania sio kweli...
  6. IKEKERA

    Je, wafahamu tafsiri ya makofi anayopigiwa Kassimu Majaliwa? Mlinzi wake kuwa MAKINI usibweteke inaweza kula kwako soon

    Halafu mwingulu ana mzidi mbali sana majaliwa..mwigulu ni smart tofauti na huyo zoba wenu aliyekuwa anapelekeshwa na magu na MaMa amempelekesha mno mpaka akamwona hawezi kazi akamwekea biteko.. Nyinyi waroma mnamtaka coz mtimize malengo yenu kwa sababu jamaa anawatii 100%..na mnamwandaa...
  7. IKEKERA

    Je, wafahamu tafsiri ya makofi anayopigiwa Kassimu Majaliwa? Mlinzi wake kuwa MAKINI usibweteke inaweza kula kwako soon

    Hivi mkuu unamjua majaliwa vizuri? Wife wake ni mroma lialia na anashiriki Ibadan 100%. Nina wasiwasi kama majaliwa hajabadilishwa dini ni huyu mama.. Na hata makofi mengi huwa anapigiwa na waroma kupitia her wife coz wanamjua vizuri... Ww jiulize mbona ameshiriki makusanyiko mengi tu na wala...
  8. IKEKERA

    Je, wafahamu tafsiri ya makofi anayopigiwa Kassimu Majaliwa? Mlinzi wake kuwa MAKINI usibweteke inaweza kula kwako soon

    Sio kwa umma mkuu..sema waroma wanamkubali..maana haya makofi mengi anapigiwa kukiwa na hadhara au mikusanyiko ya wa'catholic'..
  9. IKEKERA

    CHADEMA ikifufuka tena ndani ya hii miaka 10 kuanzia 2025- 2035 nitagawa kila ninachomiliki kwa wenye uhitaji na nitaacha kazi

    Hivi ukiambiwa utoe ushahidi wa unayosema utatoa??mnajichumia dhambi za Bure TU ..yule bwana alikufa kwa kifo cha ahadi..siku yake ilifika Wala hakuuliwa
  10. IKEKERA

    Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    Kwani oct 29 hakikunuka?..shida ya huyo muhuni wenu hajui kukaa na jambo ..yy ni lopolopo..hapo angekaa kimya mkawa mnapanga mambo yenu kimyakimya labda Leo tungekuwa tunaongea mengine..
  11. IKEKERA

    Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    Umejuaje kama nimeandika ujinga kama ww si mjinga?..
  12. IKEKERA

    Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    Thubutuu..!!
Back
Top Bottom