Yaani haya maneno yenu mwisho ni 2030..akija rais mgalatia mtapotea wote na hizo ID zenu feki..hakutakua tena na mambo ya haki Wala nepotism..bali nikuunga mkono TU..
Save my comment
Chadema ni kapu la kutupia matapishi...na hapo wameshamwamini ni mwanzao..siasa ni akili
..chadema ni nyumbu yaani hapo wamesahau jamaa ametoa Siri zao 100% na ccm hawana kazi nae tena ...wamempa task ili aendelee kupewa posho arudi tena alete mipango mipya..
KaZi Ni mOyO
Udini udini udini...
Hayo ni majina tu Wala hayana uhusiano na uislam...kwani hana sifa za kuwa mwenyekiti ??
Namdharau sana mtu anaehoji vitu kwa mrengo wa kidini...
Nyinyi ni NYUMBU...yule ambaye yupo serious na kazi huwezi kumjua hata siku moja...ambao wapo kazini hapo ni wengi sana na wengi bado ni 100% trusted na chadema...
Heche atakuwa 'zero upstairs "..
Binadamu tumeumbwa kusahau na vile vile kwa sisi waamini dini ukifanya kosa unatubu unasamehewa na maisha yanaendelea ...watu wanafiwa na wake,watoto nk lakini baada ya muda mchache TU wanasahau..
Hata ya oct 29 watu wamesahau na wanaendelea na kazi zao...
Ni wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.