Recent content by IKEKERA

  1. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu anafuga nguruwe na ni mchafu wa kuzaliwa

    Vingunguti hapo kwenye mabwawa ya mavi...kipindi nasoma udsm niliwahi kwenda kwa ndugu yangu anaishi hapo 5m kutoka kwenye hayo mabwawa ...hiyo harufu isikie tu...
  2. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    Daah sawa
  3. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakanusha kufanya mazungumzo ya siri na serikali

    Sasa nyinyi mnasubiri maridhiano maisha yanaenda kama kawa... Kwani msipo ridhiana watafanya nini? serikali iendelee na mambo yake...iachane na sijui maridhiano
  4. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Father Kitima amstukia Dkt. Nchimbi

    Sawa padri kitima...MTU smart hawezi kuamuliwa mambo yake na "just a man made system".. Upadri ni project ya watu ambao hawakifikiri vyema na wanapishana na maumbile ya kibinadamu... Ni kwa mfano gravity...kwamba kwa kikanuni vitu huanguka kuja chini lakini wewe useme inawezekana vitu viende juu..
  5. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Father Kitima amstukia Dkt. Nchimbi

    Maisha bila ngono hayana maana yeyote... Ni kama vile tungekuwa tunakula halafu hakuna ladha ya chakula basi chakula kisingekuwa na maana yeyote katika maisha yetu...
  6. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Hapana kwakweli ..halafu hawajui kuomba tenda ni pesa..yaani very simple eti omba tena..Mimi nimewaachia waendelee wao
  7. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Father Kitima amstukia Dkt. Nchimbi

    Huyu jamaa ni smart ..ila kitendo cha kuwa padri ameshusha usmart wote chini...hivi mwanaume kamili unawezaje kuishi usidinge?..yaani your whole life without sex by just a word from your fellow man...hapana kwakweli mbona slaa yeye alikataa ..slaa ni smart sana
  8. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Daah ..umenikumbusha mbali sana machozi yananitoka..nilishinda tenda Moja kubwa tu..mwisho kabisa jamaa ananiambia eti wamekosea kuweka idadi ya items hivyo wameitangaza upya...nilikasirika sana N.B Kwenye tenda niliacha napambana na mambo yangu full stop
  9. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Lema umeamua kuwasaidia CCM kwenye propaganda ya kukigawa chama?

    Njia Bora ya kumlinda ni kuunda tume huru ifanye uchunguzi huru na majibu yatoke hadharani
  10. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia usihangaike na maridhiano, hawa hawakutaki tu kwa sababu zao

    Kwanini unatumia wingi??sema wewe humtakiii...Mimi nampenda samia
  11. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Kimondo: Kuhamasisha amani wakati haki haipo, ni kutengeneza kichaka cha kujificha ili tuendelee kutenda maovu

    Ni haki gani anaeitafuta huyu ke.ng.er..e N.B ukigundua kuwa Dunia Haina haki Wala usawa utaishi vizuri sana.
  12. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Mwauwasa wanatumika kisiasa

    Kukitangazwa TU maandamano basi wao huanza kusitisha huduma ya maji kwa kusingizia TANESCO..Lengo lao kuwatia hasira wananchi waichukie serikali Yao Kisha watoke waandamane .. Walianza hii michezo tokea mwaka Jana kuelekea uchaguzi mkuu... Hapo TANESCO wamekanusha kuhusika
  13. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Full Text: Mabadiliko ya Muswada wa Senate ya Marekani kuhusu Tanzania ni wa moto zaidi

    Vikwazo kwa watanzania masikini Wala haviwagusi viongozi wa ccm hata kidogo..
Back
Top Bottom