Vingunguti hapo kwenye mabwawa ya mavi...kipindi nasoma udsm niliwahi kwenda kwa ndugu yangu anaishi hapo 5m kutoka kwenye hayo mabwawa ...hiyo harufu isikie tu...
Sasa nyinyi mnasubiri maridhiano maisha yanaenda kama kawa...
Kwani msipo ridhiana watafanya nini?
serikali iendelee na mambo yake...iachane na sijui maridhiano
Sawa padri kitima...MTU smart hawezi kuamuliwa mambo yake na "just a man made system"..
Upadri ni project ya watu ambao hawakifikiri vyema na wanapishana na maumbile ya kibinadamu...
Ni kwa mfano gravity...kwamba kwa kikanuni vitu huanguka kuja chini lakini wewe useme inawezekana vitu viende juu..
Maisha bila ngono hayana maana yeyote...
Ni kama vile tungekuwa tunakula halafu hakuna ladha ya chakula basi chakula kisingekuwa na maana yeyote katika maisha yetu...
Huyu jamaa ni smart ..ila kitendo cha kuwa padri ameshusha usmart wote chini...hivi mwanaume kamili unawezaje kuishi usidinge?..yaani your whole life without sex by just a word from your fellow man...hapana kwakweli mbona slaa yeye alikataa ..slaa ni smart sana
Daah ..umenikumbusha mbali sana machozi yananitoka..nilishinda tenda Moja kubwa tu..mwisho kabisa jamaa ananiambia eti wamekosea kuweka idadi ya items hivyo wameitangaza upya...nilikasirika sana
N.B
Kwenye tenda niliacha napambana na mambo yangu full stop
Kukitangazwa TU maandamano basi wao huanza kusitisha huduma ya maji kwa kusingizia TANESCO..Lengo lao kuwatia hasira wananchi waichukie serikali Yao Kisha watoke waandamane ..
Walianza hii michezo tokea mwaka Jana kuelekea uchaguzi mkuu...
Hapo TANESCO wamekanusha kuhusika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.