Roho mbaya kama yalivyo maendeleo haina chamabndugu zangu. Kwanza historia imetuonyesha siyo rahisi kumfahamu mwana CCM na asiyekuwa mwana CCM. Leo mtu yuko CCM kesho Yuko chadema kesho kutwa yuko TLP. La maana wote tujifunze kuwa ubaya haulipi na since kitu Cha kuonea ufahari. Tupendane kwa...
Boss Kama mtu ana silika mbaya kutokana na mazingira na utashi wake hata ukiweka katiba nzuri kiasi gani. Hivi boss Kuna katiba nzuri kuliko quruan na biblia? Mbona zinzvunjwa. Mimi najaribu kusisitizia uelewa wa jambo baya kupitia mafunzo. Mtu asutwe na nafsi yake kwa kufanya Jambo baya hata...
Kama walikuwa sahihi kwa nini wanaogopa kurekodiwa? Mimi naona badala ya kulilia katiba mpya tulilie someone la ustaarabu mashuleni tangu chekechea. Kwani mtu asiyekuwa mstaarabu hata katiba mpya ataivunja kwa kuwa Hana aibu na haheshimu haki na Hana upendo.
Naunga mkono hoja. Hata Yes hapendi kinachoendelea Sasa kwa kutumia jina lake. Yes alikuja kuonyesha njia ya wanadamu kuishi kwa upendo ili siku moja tuwe wote mbinguni. Kuishi kwa kutokumtendea mwenzako kill ambacho hupendi yeye akutendee. Hi haihitaji pesa Wala sadaka. Sadaka mpelekee mhitaji...
Makongoro nitamheshimu kwa kutokuwa na majivuno, ubaguzi na ni mtu anayejishusha kwa watu wote. Wanaomwita mlevi kwani yeye ndiye anayetengeneza pombe. Hana ukabila Wala udini. Ni mpenda watu. Huo aliotoa ni ujumbe kwa wengine wajitathmini Kama viatu walivyovalishwa vinawatosha. Charles...
Steve hakujibu hoja amekimbilia kukashfu hisia za watu, vyama vya siasa na mamlaka halali.
Hi imeonyesha mapungufu makubwa ya hekima na busara kwa kiongozi.
Hafai hastahili_poor Kama siyo pua.
Kinachofanya Ngorongoro kuwa tofauti na mbuga nyingine ni pale wanadamu wanapoweza kuishi katika hali ya kuombana chumvi au Moto na wanyama wakali Kama Simba na tembo Wachagga hawajachorwa mlima Kilimanjaro usoni.
Samehe mara saba usabini. Ndicho alichokifanya Mbowe. Angeweza kuteswa na majambazi, majirani na hata ndugu lakini kikubwa ni kuwasamehe na kuendeleza unyenyekevu uliojawa na busara na hekima. Hata na wewe wasamehe unaojua wamemkosea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.