Recent content by ikamama

  1. I

    Ukweli juu ya Uraia wa Emmanuel Papian, Mbunge wa Kiteto

    Uungwana wake unatoka wapi mbona KM wa CCM alimpa makavu za usoni mwaka huu alipoitembelea Kiteto? Muungwana ni mtu asiye na chuki, ubinafsi na majivuno. Papian alishaambiwa na Mnyeti tulia faili lako tunalo na nilichafu
  2. I

    Ukweli juu ya Uraia wa Emmanuel Papian, Mbunge wa Kiteto

    Jambo baya zaidi kuhusu huyu Papian anawadharau sana Watanzania na ndiyo maana hawajiriwi kwenye biashara zake. Jambo na la kutia moyo ameshanongona kuwa bora niwaachie wenyewe nchi yao isije ikanitokea puani .....
  3. I

    Nyang'wale wanambipu Rais Magufuli? Halmashauri yapoteza thamani ya vocha ya Tsh bilioni 3

    Mkurungezi wake in dhaifu hakuna namna inabidi tu atumbuliwe ndiyo atapunguza uswahili!
  4. I

    Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya msingi ya kutaka Mbunge mteule wa Singida Mashariki asiapishwe na kutoa uamuzi siku ya Agosti 23, 2019

    CCM imeishiwa pumzi kwa mujibu wa hayati Ngombale Mwiru (2015). CCM bila dola kwa safari ya Dar Mwanza haiwezi kufika hata picha ya ndege maili moja lazima iishiwe pumzi!
  5. I

    Moja ya ndege za ATCL Bombardia iko Zanzibar wiki ya pili sasa inatengenezwa

    Hizi ndege kuna kauli ambayo Zitto aliwahi kutoa kuhusu hizi ndege
  6. I

    Hivi mwanaume asipotahiriwa anakuwa na tabia kitoto

    Napenda kufahamu iwapo wanaume kutoka jamii ambazo hazina utaratibu wa kuwatahiri wanaume wengi wao wanakuwa waoga na kupenda kutumia vitisho katika kufanikisha matakwa yao katika jamii. Pengine tabia zao zinabakia kuwa hivyo kwa ajili ya kutopitia gazi mbalimbali za kupikwa kutambua maana ya...
  7. I

    Ujio wa Lissu: Maandalizi ya mapokezi yapamba moto

    Dawa ya wasiopenda haki na demokrasia
  8. I

    Tundu Lissu pasua kichwa

    Unaumwa kichwa kapime malaria, typhoid au UTI
  9. I

    Kama sababu ni hii basi ‘’Kolomije boy’’ hawezi kutumbuliwa!

    Taarifa nyeti za anza kuvuja basi Mr marope hafai!
  10. I

    Kisiasa, kwa matukio haya mawili unapata tafsiri gani?

    Wimbo wa kundi wa zilizopendwa wamezinduka hawalali tena usingizi umekatika
  11. I

    Ni upuuzi uliokithiri kuharibu sura ya Tanzania kimataifa kwa lengo la kumkomoa Rais Magufuli

    Swali: Mbona malalamiko yamezidi dhidi ya utekaji na utesaji wa watu? Swali: Je kuna ukweli dhidi ya malalamiko haya? Swali: Je tunawezaje kupunguza haya malalamiko?
  12. I

    “Tanzania governor” Makonda on CNN for all the wrong reasons

    Address my question directly and specifically don't panic. Tell us what do you know about the functions of the RC vs those of the Governor?
  13. I

    Tanzania yaongoza Afrika katika kupambana na Rushwa, matumizi bora ya pesa za umma na kurudisha nidhamu Serikalini

    Mtajaribu kupambana na mataifa mengine lakini hamtaweza ni mfumo waliouchagua na wametuacha kwa mbali na itaendelea kuwa hivyo kwa miaka michache ijayo.
Back
Top Bottom