Recent content by Ijagara

  1. I

    JamiiForums Tanzania Jumba la Boniface Jacob Ex Mayor wa Ubungo limenipa mzuka sana

    20 kwa 45, 30 kwa 30, 25 kwa 36, n.k vyote kati ya hivyo Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
  2. I

    JamiiForums Tanzania Jumba la Boniface Jacob Ex Mayor wa Ubungo limenipa mzuka sana

    Brother, ukihitaji kuanza ujenzi karibu Sana tukuandalie Ramani nzuri ya nyumba Yako kama hiyo unayohitaji pamoja na kusimamia ujenzi wako mpaka mwisho. Tupo Arusha Town, jengo la mafao house, ghorofa ya 7. Wasiliana nasi kwa Whatsapp 0754084611. Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Forex traders naombeni msaada tafadhari

    Deriv
  4. I

    JamiiForums Tanzania Watu wengi hukutana na wataalam wasio sahihi

    Hii ni kweli kabisa mkuu
  5. I

    JamiiForums Tanzania Watu wengi hukutana na wataalam wasio sahihi

    Haupigwi mkuu Ramani inakupa picha nzuri ya unachotaka kwenda kujenga
  6. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba Cha kupanga

    [emoji23][emoji23] hutaki akwepe posho ya dalali
  7. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba Cha kupanga

    [emoji23][emoji23][emoji23] muelekeze jamaa chumba kilipo mkuu
  8. I

    JamiiForums Tanzania Watu wengi hukutana na wataalam wasio sahihi

    Habari za muda huu wakuu, Siku moja mida ya jioni nikiwa nimetulia nilistushwa na text ya whatsap, kucheki vizuri nikabaini ni mteja kutoka Instagram kwenye account yangu inayohusiana na ujenzi @construction_solutions_tz. Baada ya maongezi ya hapa na pale nikagundua jamaa anahitaji huduma ya...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    Kwa ratio ya 20 yaani ndoo ndogo 20 kwa mfuko, zinajenga tofali 80-90 za kusimama. Kwa ratio ya 25, ndoo 25 ndogo kwa mfuko, zinajenga tofali 100+ za kusimama.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    Hujaelewa swali
  11. I

    JamiiForums Tanzania Mafundi wetu wanakwama wapi?

    Habari, Ujenzi wa ghorofa bila nguzo inawezekana lakini tu unashauriwa kutumia ukuta wenye upana wa inch 9 au 230mm kwa floor ya chini yaan kuta za chini zijengwe kwa kulaza tofali. Kwenye msingi, nguzo ziishie level ya msingi ilikupa msingi stability nzuri. Lakini pia aina hii ya ujenzi sio...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Wakuu hata haka kanishinde kwa 70m?

    Habari, naomba nikujibu. Ujenzi wa ghorofa ni tofauti na ujenzi wa nyumba ya kawaida. Kivipi? Kwenye ujenzi wa ghorofa Kuna element zinaongezeka ambazo sio za lazima kwenye nyumba ya chini. Element kama nguzo, mkanda wa chini na slab ni lazima viwepo kwenye ghorofa. Element hizo zinahitaji...
  13. I

    JamiiForums Tanzania Jinsi ninavyo design (+ kanuni za design) Ep. 01: 3 bedroom house #01

    Asee tuchekiane basi kama vipi. Nafikiri tunaweza fanya kitu kama hutojali. WhatsApp 0754084611
  14. I

    JamiiForums Tanzania Jinsi ninavyo design (+ kanuni za design) Ep. 01: 3 bedroom house #01

    Pamoja Sana Architect
Back
Top Bottom