website ya nssf haina majina na kwa bahati mbaya hata tangazo la kazi halikuwapo kwenye website so inawezekana hata majina wasiyaweke kwenye website yao cha msingi ni kuangalia other sources
Mi nakushauri usiwe na papara,kwa umri wako muda bado na nafasi unayo pia ya kumpata atakae kuoa,Cha msingi usikurupuke kwani waweza angukia mikononi mwa mafataki,lakini pia chagua chagua utapata nazi koroma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.