Nchi haiendeshwi kwa jazba au kutafuta sifa. kupoteza lengo katika masuala muhimu ya nchi, Ajira, Njaa, Uchumi kuporomoka na gharama za maisha kupanda bila sababu haya ndio kipaumbele sio kudhalilisha watu.
Ama kweli Nyani haoni kundule, Nyie Chadomo sio Usultani tu bali ni Umangi Meza, viti maalum mumegawana kule mgombani wake zenu, watoto, mahawara zenu, dada zenu mpaka basi. Hawa vijana hawajateuliwa bali ni ndio nguvu ya demokrasia ambayo Chadomo bado ni ndoto ya mwenda wazimu. Tafuteni tena...
Ben Saanane: Leo nimewaona Nape na Mwigulu wanaongea vizuri hapa Dom wanapongezana kwa kazi nzuri pande zote. Tunakuomba rudi kuwa na mawazo chanya, epuka fikra hasi, shauri unapoona kuna mapungufu na sifia panapostahiki ili tuepuke kuwa na taifa lenye vijana vipaombele ni majungu, lawama na...
Magesi
Una ajenda za siri. Safari binafsi watu huwa wanaenda Disneyland, Vacation at the beach na kwingineko. Mwigulu ametembelea matawi yote ya CCM Marekani na Uingereza. Haya yote yapo kwenye mitandao yote na magazetini inaonyesha unakigugumizi cha kutafuta ukweli uko wapi au unatumika...
Taarifa hazina ukweli ndani yake, Nape na Mwigulu wanafanya kazi pamoja na wala hawana tofauti zozote kwani wote wanakipenda Chama kwanza kablay amaslahi yao binafsi. Hivyo tujue wapo pamoja na hakuna ufa wowote. Mwigulu amefanya kazi nzuri Marekani na Uingereza alikutana na Watanzania wote bila...
Baada ya kupata makamanda wapya sasa kazi ni moja. Kuendelea kudumisha Amani na Utulivu nchini, kukuza uchumi, kujenga mindo mbinu zaidi. Kukuza elimu na kazi kwa Vijana. pamoja tujenge nchi!
kanga usiseme kitu usichokijua. Ni mtu mwaminifu, mchapakazi. Ameanza kama Mwalimu akjiendeleza mpaka alipo. Hafungamani na upande wowote ndio maana hata kule Biharamuro alitangaza matokeo kihalali kabisa. So he's strong leader.
Neiwa. Inaonyesha unamawazo finyu sana na hauna exposure ya kutosha. Nenda Google tafuta chama chochote duniani utaona vingi vina matawi nje ilimradi tu wafuasi wao wapo. nilienda London nikakuta Kenya ODM wapo, Ivory Coast wapo, n.k. na mataifa mengi wananchi wao hupiga kura wakiwa nje pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.