Mjumbe CCM ajivua uanachama

Mjumbe CCM ajivua uanachama

Mungi siyo kila kitu tuwe tunadhani ni jambo la Kupingana. chama ana hoja ukiangalia kwa makini. Tanzania tuna Kata ngapi kama kila jambo linalotokea kwenye kata linakuwa habari. Halafu watu kwa maelfu wanajiunga na CHADEMA kila siku ni kwa nini hawa wanaotoka CCM ndiyo wanapigiwa upatu?

Kwani ni watanzania wangapi wanatoka CUF, NCCR,NLD na vyama vinginevyo vya siasa na kujiunga na CHADEMA, hawa wa CCM wana thamani kubwa sana kuliko hawa wengine?
Mkuu jibu unalo kama hauna unalijua ila hutaki kulikubali. Binafsi sipendi kumung'unya maneno, watu wameichoka/tumeichoka CCM na viongozi wake, wengi wanatamani CCM ipotee tuanze upya na chama kingine tukiwa na mfumo mzuri wenye kuthamini utu na taifa letu. Sasa linapotokea suala ambalo naweza kusema lina-accelarate the dying process of CCM basi bila shaka mwenye gazeti atauza akiandika hiyo habari. Pamoja na mengine meeeengi.
 
Nilipofungua hii thread nilidhani mjumbe wa NEC kumbe mjumbe wa kata.
 
CCM ni janga la taifa linalokumbatiwa na wanaoathirika nalo. Hivi tunakosa macho ya kuona hayo madudu yao?
 
Tanzania Daima ndio linatoa habari ya kitoto hivi, Mwalimu ni mwajiriwa wa Halmashauri haruhusiwi kujihusishaba Siasa
Prince Fabby Rwanzo (29) jina lenyewe halifai hata kuwa Mjumbe wa Halmashuri ya Tawi la kitonbgoji cha Bugene
Tanzania Daima subirini mmatokeo ya Mkiti atakavyopita kwa zaidi ya 90% na mbadili km mlivyozoea
 
Tanzania Daima ndio linatoa habari ya kitoto hivi, Mwalimu ni mwajiriwa wa Halmashauri haruhusiwi kujihusishaba Siasa
Prince Fabby Rwanzo (29) jina lenyewe halifai hata kuwa Mjumbe wa Halmashuri ya Tawi la kitonbgoji cha Bugene
Tanzania Daima subirini mmatokeo ya Mkiti atakavyopita kwa zaidi ya 90% na mbadili km mlivyozoea
 
mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi (ccm) prince sabby rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia watanzania.

Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia watanzania.

rwazo ambaye pia ni mwalimu shule ya sekondari ya bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.

Source: Tanzania daima



vipi akihamia chadema atapoteza ajira yake??
Good for him
 
kwa nini waandishi wa Tanzania hawapendi kuandika habari zao kwa weledi? Halmashauri Kuu ya CCM (National Executive Committee) ni chombo cha kitaifa na siyo kila Halmashauri ya CCM ni Halmashauri Kuu. Kuna Halmashauri za Kata, za Wilaya, za Mikoa na hatimaye Halmshauri Kuu ya Taifa.

Sasa huyo Prince Sabby Rwanzo ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ipi? Haya ndiyo yale ya kutumia picha ya binti wa marekani na kusema ndiye aliyesababisha Kamanda Liberatus Barlow kuuawa, vyombo vya habari vya Tanzania ndiyo maana Mzee Mkapa alisema havina weledi wa kutafuta habari!!

Umesema kweli. Waandishi mnatuangusha, mkiambiwa ukweli hamtaki.
 
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.

Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.

Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.

Source: Tanzania Daima

Huyu kijna hakuwepo wakati Kolimba anasema maneno kama hayo!
 
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Prince Sabby Rwazo (29) amejivua uanachama na madaraka mengine kutokana na chama hicho kushindwa kuwa na mwelekeo thabiti wa kusaidia Watanzania.

Rwazo alisema kujiondoa kwake ni jambo la kidemokrasia kutokana na chama tawala kukosa dira nzuri ya kuwasaidia Watanzania.

Rwazo ambaye pia ni Mwalimu Shule ya Sekondari ya Bugene alisema kwa muda atakapokuwa nje ya siasa, ataendelea kuwafundisha wanafunzi kwa moyo wote kushiriki shughuli za maendeleo akiwa mwanaharakati wa haki za binadamu pasipo kuvunja sheria za nchi.

Source: Tanzania Daima

Hizi nia taarifa za kizushi, zipo Tanzania Daima ukurasa wa ngapi na tupe nakala tuone hapa jamvini.
 
Mungi wewe ndiye unaandika kimahaba mahaba hadi unapost bandiko moja mara tatu tatu!! Andiko lina vitu viwili vikubwa vya muhimiu ambavyo ni Mantiki na Maudhui wewe unaona kuna mantiki gani kwa Gazeti kuweka habari ya Kada wa CCM kujiunga CHADEMA kama ni habari kuuubwa!?

Ninachotaka mimi ni waandishi wa habari kuwalisha wasomaji wao habari zenye kufikirisha mbongo. Hebu tafakari nchi nzima kuna Kata ngapi na huyo mmoja aliyejitoa anabadili nini kwenye kata zingine zilizobaki? Ukiondoa ushabiki wa kijinga kwamba kila anayehoji ni Mfuasi wa chama fulani huko ni kufilisika kimawazo na ndiyo maana watu kama nyie huwa mnamuona Zitto Kabwe ni "Pandikizi" eti kwa kuwa tu hakubaliani na mawazo yenu!!
 
Back
Top Bottom