Recent content by Igoshalyamva

  1. I

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    matokeo ya nape ya o-level kwa maana ya form four mwaka 1997 alipata div three point 24 akajiunga na ziwani sekondari inayosimamiwa na butimba ttc kwa masomo ya a-level na alipata div four point 18. Akarist tena matokeo hayakuwa mazuri pia, akaamua kujiunga na chuo cha siasa ya jamii pale...
  2. I

    Mussa Mkanga anayedaiwa ktk kesi ya Lema atoweka,asababisha ndoa za washirika wake kuwa ktk hatihati

    Yule batilda ni baloz wa watu awalipie akichanganya na za white hair wataweza. Hapo ndo watakapo jua ccm ni nomaaaaaaaaaaaaaa
  3. I

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Hongera Kamanda naamini mwaka umemalizika VIZURI.
  4. I

    CHADEMA, huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu...

    Kwani unampango na mungu kuwa kesho utafika. Hama leo, msema kesho ni muongo
  5. I

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    NAKUMBUKA MAHUBIRI YA ASKOFU WA KKKT MSTAAFU (JINA KAPUNI) ALIWAHI KUSEMA HAKUNA WATU WAJINGA WAKUBWA KAMA WASOMI, LEO HII NIMEKUBALI, HAWA WOTE WANAJIITA WASOMII WOTE!!!!!!!! INAWEZEKANA WAMEHUZURI SHULE ILA HAWAJAENDA SHULE. PILI KUSOMA KWAO HAKUJA WASAIDIA. NARUDI MSOMI ANAAMBIWA SUARA LA...
  6. I

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Kuanzia leo mpaka mwaka mpya ni kula nyama choma kwenda mbele, masalia ziiiii. Tulianza na mungu tutamaliza na mungu by nasary.
Back
Top Bottom