Huu ni mfumo kwa ajili ya kuhifadhi kumbukumbu za wanafunzi kama malipo ya Ada,usajili na matokeo.
Mfumo huu umeunganishwa na Bank pamoja na mitandao ya simu kwa ajili ya kupokea malipo ya ada.
Pindi tu mwanafunzi anapolipia ada yake kwanjia ya Bank au kwa kutumia mitandao ya simu hapohapo...
Huyo Jamaa sio web professional kabisa kama ulivyosema ...labda kama anadownload free template na anaedit contents.
Website ambayo ipo professional huwezi tengeneneza kwa hizo bei za blog.
Hiyo ndio Nchi ya viwanda yaani badala watu wapewe pesa zao kipindi wapo vijana ili waweze kujiajiri na kuajiri vijana wenzio kwa sababu wengine wanfanya kazi kwa malengo ya kupata mtaji kwa zile pesa wanazokusanya kwenye mifuko ja jamii lakini leo walewale wanohamasisha watu wajiajiri...
Mabaraza ya Kata kwa ufupi yamekosa weledi kwa sababu ya kukosa wataalam wa kisheria kwa ajili ya maamuzi
1.Sidhani ila kwa sababu ya njaa zao hunaingilia mambo ambayo hayausu ili tu wapige dili za virushwa
2.Upande usiokubaliana na maamuzi utaomba shitaka lipelekwe Mahakamani
Yaan haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.