Nimeuliza hapa hawa watanzania wanaozungumziwa hapa ni asilimia ngapi kati ya watanzania milioni 60 ambao majority wako huko vijijini wakipinda mgongo day in day out kwenye substance farming?
Natofautiana na wewe kwa sababu kwenye uongozi kila mtu ana approach yake, hasa unapokuwa una deal na uma wa watanzania ambao sometimes wala hawajui wanachokitaka. Kuna viongozi wanapenda sana mbwembwe na media coverage.Ndiyo hao ambao watatumia kila aina ya vituko wafanyapo kazi zao, mara waje...
Kuna mmoja mtaani Kila siku alikuwa ananisumbua kuhusu michongo simpi. Siku moja nikamwambia twende shambani kwangu Kuna kazi ya miezi 2 na mshahara laki mbili,kulala na kula juu yangu. Baada ya wiki moja vibarua shambani wakaanza kunipigia simu kwamba dogo kazi yake kutwa ni kucheza Yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.