Mfano huo haiendani kabisa na yaliyotokea cdm!. Operation imeleta balaa kwa wananchi!.Mauaji, ubakaji, udhalilishaji, rushwa mpaka umaskini kwa wananchi walio wengi!
Naona tujadili kwanza namna ya kushirikiana kwa mawazo ,fikra na mbunge aliyepo wa cdm prof.Kahigi ili aweze kutimiza ahadi alizotoa kwa wana bukombe wakati wa kampeni 2010!.Tusipende kumhukumu tu yeye pekee yake!.mnajua kabisa yeye ni wa cdm wenye serikali yenye fedha za maendeleo ni ccm...
Mhe.Ajaye!
Tafuta gia nyingine ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea ubunge wa jimbo hilo!.Unazijua changamoto zinazowakabili watu wa Bukombe?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.