hovyo kabisa, hoja za kipuuzi unatoa. kwamba raslimali na utajiri wa nchi utapanywe wachache ndio wanafaidi halafu tukae kimya kwa mwamvuli wa sheria za hovyo zilizopitwa na wakati
Mi nafikiri mchakato wa upigaji kura maamuzi ya mwisho kura ya watu wote isiamue ushindi wa kiongozi. kwa sababu hawa wanasiasa wanatumia jamii kubwa ambayo haijaelimika kuingia madarakani kwa njia za rushwa na ulaghai.
Huu ni uongo, unaangalia historia wa wabunge bila shaka. mkoa kama Geita chaguzi mbili kuu za zilizopita hakuna mbunge wa CCM ameshinda kwa haki. niamini! hata Mwanza na Kagera ni ubabe ulitumika
Hivi raisi yeye haoni wala kuwaza mpaka tuwe tunamuondoa kwenye lawama!? Kale kadaraja pale pwani kwa B7 tumepigwa, haya mabehewa pia tumepigwa. Haya mataifa ya Africa bila rushwa tungefika mbali sana
Katiba hii inawalinda mno hawa wakoloni weusi, siku madaraka yakirudi kwa wananchi itakuwa rahisi sana kukabiliana na jambo lolote au uongozi wowote. Hiki kinachotokea kuhusu ndege wananchi wanaposhangilia bila shaka ni ujumbe kwa Serikali kuwa haifai kuwa pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.