Ukristo upi unasema wewe huu wa vitabu 73 au vile 66 vya Martin Luther ?watu wanakataa vitabu kama magazeti ya Shigongo wakati hata huyo Yesu hawakumuona inashangaza sana, kwanza hata hao wayahudi hawatambui huyo Mungu wenu Yesu na mafundisho yake, nyie ndio mnalazimisha , sasa watu kama hawa...
Binadamu wa kwanza hakuwa Mkristo wala myahudi , sasa unatulazimisha vipi kila jambo tuwasikilize wao wakati hata binadamu wa kwanza hakuwa na imani yao ilo moja, Quran ipo duniani toka karne ya saba yaaani zaidi ya miaka 1400, imekuja kufundisha imani ya kweli kabisa na kuondoa kila aina ya...
Ukisema juzi una maanisha nini? unataka manuscript ya aina gani kutoka katika Quran? unajua wakati mwengine ukitoa mifano uwe unatafakari hapa tunazungumzia Uislamu , ni kichaa pekee ndio anategemea kuwa eti Uislamu utatetewa na vitabu vingine, wakati hata hivyo vitabu vingine vyenyewe vina...
Hizi ndio akili mbovu unataka uislamu utetewe na watu walio amua kuupinga? ukitaka jambo lolote la kiislamu ni lazima urejee kwenye Quran, hatuwezi tegemea uislamu utetewe na vitabu vingine, ndio maana waafrica wanakuwa wajinga kwa kutegemea historia za wazungu(wakoloni) kuwa ndio historia za...
Nchi yenyewe ya Israel imejengwa kwa kuua wenyeji, unataka watu wawaache tu hata kama usalama wao upo kwenye mashaka?kama waliweza kumtundika Yesu ambaye ni Mungu wenu kama nyama ya Ng'ombe sasa kuweka sumu kwa muhamadi inakuwaje habari kubwa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.