Recent content by ielewemitaa

  1. ielewemitaa

    Binti wa Kiyahudi dhidi ya kifo cha Mtume Muhamad

    Ukristo upi unasema wewe huu wa vitabu 73 au vile 66 vya Martin Luther ?watu wanakataa vitabu kama magazeti ya Shigongo wakati hata huyo Yesu hawakumuona inashangaza sana, kwanza hata hao wayahudi hawatambui huyo Mungu wenu Yesu na mafundisho yake, nyie ndio mnalazimisha , sasa watu kama hawa...
  2. ielewemitaa

    Binti wa Kiyahudi dhidi ya kifo cha Mtume Muhamad

    Binadamu wa kwanza hakuwa Mkristo wala myahudi , sasa unatulazimisha vipi kila jambo tuwasikilize wao wakati hata binadamu wa kwanza hakuwa na imani yao ilo moja, Quran ipo duniani toka karne ya saba yaaani zaidi ya miaka 1400, imekuja kufundisha imani ya kweli kabisa na kuondoa kila aina ya...
  3. ielewemitaa

    Binti wa Kiyahudi dhidi ya kifo cha Mtume Muhamad

    Ukisema juzi una maanisha nini? unataka manuscript ya aina gani kutoka katika Quran? unajua wakati mwengine ukitoa mifano uwe unatafakari hapa tunazungumzia Uislamu , ni kichaa pekee ndio anategemea kuwa eti Uislamu utatetewa na vitabu vingine, wakati hata hivyo vitabu vingine vyenyewe vina...
  4. ielewemitaa

    GE2025 Mchungaji: Wasanii wa sasa wamekuwa vyoo vya jamii na sio vioo vya jamii

    Mchungaji kavimbiwa sadaka, anataka wasanii wafe njaa
  5. ielewemitaa

    GE2025 OKTOBA 29 tunatoka

    Askari midomo
  6. ielewemitaa

    Tarehe 17 kunani kwani, naona Giza siku hiyo

    Mkuu hakikisha umeshiba vizuri kabla ya kula mjani
  7. ielewemitaa

    Binti wa Kiyahudi dhidi ya kifo cha Mtume Muhamad

    Hizi ndio akili mbovu unataka uislamu utetewe na watu walio amua kuupinga? ukitaka jambo lolote la kiislamu ni lazima urejee kwenye Quran, hatuwezi tegemea uislamu utetewe na vitabu vingine, ndio maana waafrica wanakuwa wajinga kwa kutegemea historia za wazungu(wakoloni) kuwa ndio historia za...
  8. ielewemitaa

    Tanzania ni yetu sote, mbona ndugu zetu wazanzibari hawapazi sauti kwa yanayoendelea nchini?

    Walipokuwa wanashughulikiwa na Mkapa si mlikuwa mkifurahia kuwa magaidi, sasa tulia dawa ikuingie
  9. ielewemitaa

    Mwislamu anaamini ili uelewe maandiko ya Mtume S.W.A lazima ukariri alichokosema kwa kiarabu

    Mnataka muongee walokole tu lugha mpya mkishukiwa na roho mtakatifu , sisi waislamu tukiongee kiarabu tatizo
  10. ielewemitaa

    Tarehe 17 kunani kwani, naona Giza siku hiyo

    Bangi za jua kali ni shida
  11. ielewemitaa

    Watanzania: Je, Mungu wa kwenye Quran na Biblia ameshindwa kutulinda dhidi ya wasiojulikana?

    Ebu tuambie binadamu amezukaje mpaka akawa hivi alivyo?
  12. ielewemitaa

    Binti wa Kiyahudi dhidi ya kifo cha Mtume Muhamad

    Nchi yenyewe ya Israel imejengwa kwa kuua wenyeji, unataka watu wawaache tu hata kama usalama wao upo kwenye mashaka?kama waliweza kumtundika Yesu ambaye ni Mungu wenu kama nyama ya Ng'ombe sasa kuweka sumu kwa muhamadi inakuwaje habari kubwa!!
Back
Top Bottom