Imani zina nguvu sana ila kwa kuwa kote kote lengo ni kuponyesha basi kuna haja ya kushirikiana. Mfano kuna baadhi ya imani huwa nasikia wao ni mwiko kuongezewa damu jambo ambalo ni sahihi ktk utaratibu wa imani lakini sekta ya afya ikitengeneza mazingira mazuri na uwanja wa ushirikiano baina...
Kumbe hata sisi tunaweza, hao vijana waliotengeneza mkanda salama niliwaona kwenye Tv wakiwa na waziri wa Afya ningependa unifafanulie huo mkanda salama mkuu...........ila kongole sana kwa idea nzuri
Umenena vema kaka angu, mfano wa viwanda vikubwa ni MO~DEWJI COMPANY LTD, BAKHRESA n.k hivi viwe mifano bora kwa wengine hakina kwangu naona vinajitahidi. Nimependa tittle yako ya Ni muda muafaka wa kuinua vilivyo vyetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.