Mtumishi anapoajiriwa kwa Mara ya kwanza,,,anaruhusiwa kupata ujauzito baada ya kufikisha mwaka mmoja kazini,,,,yaani kuthibitishwa,,,rejea kanuni za kudumu h.12 (6) za mwaka 2019.
Hivyo hapo mke wako hakutendewa haki,,,anatakiwa angeruhusiwa kupata likizo ya uzazi,,,na baada ya hapo anatakiwa...
Habari wakuu
Naomba kupata msaada wa SHERIA ZA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU ZA MWAKA 2015,,,NA KANUNI ZAKE ZA MWAKA 2016
Shukrani sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari walimu
Njoo tarime -musoma Mimi nije pwani,,,au dar,,,au Tanga,,,Dodoma,,,Moro wilaya yoyote ile idara Msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwalim Emanuel Christopher Paulo wa halmashauri ya Musoma, idara ya elimu msingi natafuta mwalim wa kubadilishananae kituo cha kazi yeye aje wilaya ya Musoma mkoa wa Mara na mimi niende wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara. Mawasiliano : 0784455318/0768447488/0710063425.
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.