Since 1980, nationals from Tanzania have been sponsored by the Australian Government through the Australia Awards to Study in Australia. Applicants from Tanzania are eligible to apply for Masters and Short Course Awards.
Australia Awards Scholarships (Masters level)
Applications for...
Mkuu bachelor degrees za engineering wanacharge mshiko mrefu kiasi, lakini kiasi kinatofautiana kutoka university moja hadi nyingine. Mfano Curtin University wanacharge AUD 33,800 kwa mwaka kwa bachelor degree ya petroleum engineering! Na university of Newcastle wanacharge AUD 28,000 kwa mwaka...
Bila shaka unachanganya sana mambo Jerrymsigwa, sisi hatupo Adelaide bali NSW, namba ya kwetu ni hii hapa +61 24955 5802 (ambayo ipo kwenye website pia) na ni landline (siyo simu ya mkononi).
Weka akiba ya maneno mkuu, mbona watu wengi wametuandikia baada ya kusoma hapa na tumewajibu? Hivi kweli unashindwa ku-click link ya website hapo juu na kutuandikia kupitia email zilizopo kwenye contact us? Kutokana na tofauti ya masaa mengi kati ya Australia na nchi nyingine sisi tunapendelea...
Mkuu, link ya website ipo kwenye post hapo juu, ukitumia mawasiliano ya kwenye website ni rahisi kujibiwa mapema kwani tupo wafanyakazi wengi -hapa jamiiforums ni mpaka mimi niingie na wakati mwingine majukumu hayaruhusu kuingia huku. Tuandikie kupitia admin@ibscservices.com
Asante Tatiana,
Unataka kusoma masters katika nini? Na plan yako ni kujilipia ada ama kuomba ufadhili?
Kampuni yetu inashughulikia kuwaombea udahili (admission) wanafunzi wanaohitaji kusoma (diploma, bachelor, masters, PhD) na wengi wa wateja wetu ni wale wenye mpango wa kujilipia karo...
Fresh mkuu!
Najua zipo universities zinazofundisha petroleum engineering na zinatoa bachelor, postgraduate diploma na masters. Bofya hapa na hapa kuona mifano. Bado sijaona zinazotoa certificate na diploma, nikipata hizo info nitakurushia bila shida.
Kila la heri
IBSCS
Mkuu, TAFE wana engineering courses katika mining lakini mainly ni Open-cut na Underground mining. TAFE hawana courses za Petroleum drilling.
The minimum entry requirements are successful completion of secondary school (O-level). The student will need to have IELTS score of 6 across the 4...
Hello, sorry kwa kuchelewa kukujibu.
Kama nilivyosema awali kwamba inawezekana kwa mwanao kusomea diploma ya aircraft maintenance engineering. The minimum entry requirements are successful completion of secondary school (O-level). The student will need to have IELTS score of 6 across the 4...
Mkuu ada na muda (duration ya course) zinatofautiana kutoka university hadi university. Mfano kwa university of Monash wenyewe hii
programme ni mwaka mmoja na nusu na ada (jumla) ni 35,700AUD. Wakati university of Sydney programme kama hiyo (Public admin) inakwenda kwa 45,000AUD na ni kwa...
Not always, some (in fact the majority of ) scholarships clearly specify the levels of academic grades required and the higher the grades, the more competitive is the applicant. This is pretty obvious anyway.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.