Nashkur muungwana Majibu yako la 1,2 na 3 yamenipa uelekeo mzuri..... Kifupi mahusiano na matukio hayo niliyoandika ni robo ya tukio zima.... Nimejaribu sana kufupisha..... Mapenzi ni upofu... Najitambua kiafya na napima mara kwa mara..... Naye binti Huyo alikuwa akipima..... Condom tulitumia...
Kwel ni ngumu mwanamama ..... Lakini hili suala mara nyingi.... Ni kuaminiana..... Coz Ukisema Hivyo.... Inawezekana hata wa ndoa unakuta mtu Sio wako...... Na plan ya DNA ni mapema sana.....
Naithibitisha ni ya Kwangu kwa namna tarehe zilivyooana..... Pia ktk kila hatua alinijuza....... Meanwhile alikuwa mkweli kwenye baadh ya mambo.... Inanipa iman......
Ushauri wako umefika....... But let's me pause the questions for u..... 1. Umeolewa 2. Kama ndio... Hujawah fanya kosa lolote.... Ktk maisha yako kwa Mungu na kwa binadamu...... 3. Unafikiri Kuna yoyote mkamilifu katika dunia? NIJIBU HATA MOJA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.