ila mi kinachoniboa muce wakuu....,ni hii week ya orientation mambo slow sana,afu najiuliza ni kwa nini....,TCU kila mwaka wanaleta wasichana wachache MUCE!...,tunakomoana au.....,basi MUCE kiwe chuo cha boys tu....,coz ktk wanafunzi 1000 na......,wasichana ni 200 tu kwa 1st year,jamani hili...