Recent content by ibrahimkonga

  1. I

    Natafuta mume tuoane

    Usijali utapama Dada mungu yu pamoja nawe
  2. I

    Jaji Mkuu waonee huruma watanzania hawa wanyonge

    Mama kweli tumejaa mbumbu kwenye nchi yetu na tunaongozwa na mbu....ndio mana tunashadidia mambo ya kipuuzi ndioo mana naoo wanatupuuza tubadiliken basi
  3. I

    Jicho la Tatu: Bashite na Diamond rudini studio Upya,Tumewasitukia

    Ukiona makele MENGI sana ya watu juaa ya kuwa wamefika sehem wamechoka na vituko vinavyoendelea IPO siku mtakipata mbachokitafuta tuu
  4. I

    Paul Makonda: Haitafika Jumapili kabla hatujampata Roma na wenzake wanne

    Sijawahi ona utawala wa ajabu kama awam ya ....wanakuambiaa j pili atakuwa amepatikana kwa iyo wa najuaa alapo roman sasa tunahangaika na nni tusubr j pili iyo kwa sababu walishaona nchi hii ni kama ya bbi yao
  5. I

    Kikwete alivyoshangiliwa Bungeni leo inamaanisha nini?

    Ni kweli unajuaa sisi watanzaniaa kidogo naona hatujielewi ifikapo 2019 mambo mazur watatuleteaa kama ajira za walim zitakuepo mikopo itakuepo na kila kitu kitakuwa mbashara baada ya uchaguz tunaanza tena maneno na shida nyingi Mara pesa hakuna biashara ngumu basi tubadiken inaumaa
  6. I

    Kikwete alivyoshangiliwa Bungeni leo inamaanisha nini?

    Hujisomi.naona wewe dish limeyumba channel zako akilin kwako hazijisomi
Back
Top Bottom