Pole kwa mtihani kila mtu anajisemea kwa nafsi yake
Je?brother huyu bint ukimlipa mshahara kwa wakati,na hakua akikudai chochote
Nadhani ni hivyo .
Basi kama ni hivyo chukua tahadhari japo kuna usemi ambao Mimi siuafiki wanaseama Adui wa kwanza katika kazi yako ni mfanyakazi wako
Pole sana’
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.