Sasa hii inakuwa sinto fahamu. Mara makonda kampiga warioba, mara kaandaa vijana wampige warioba! Ninachokiona hapa unapokuwa mwiba kwa bavicha na wanaukawa basi inakuwa shida kwel kwel.
Labda nishauri tu kwamba mambo ya kuchafuana pasipo na ushahidi ni mbaya sana.
Hukawii kusikia nape naye...
Sisi tulijua kabisa kwamba kitakacho iua ukawa ni pesa. Na mapema tumeona.
Likiendelea hivi hawatachukuwa muda ukizingatia kuwa ndoa yenyewe ni ya ghafla ambayo nauhakika haipo katka katiba ya chama chochote mwanachama wa ukawa.
Safari hii chadema hakuna jipya hapo. Mlitimka wenyewe bungeni sasa mnafikiri wananchi wanawasikia tena uongo mnao utengeneza? Mngekaa bungeni mtuambie hayo yametokea tungewasikiliza. Sasa uwanjani haupo halafu unashangilia goli wapi na wapi!!
Huyu mzee alifanya kazi nzuri na muda wake uliisha. Tatizo ni pale alipoanza kuingilia shughuli za wengine kukosoa na kuendesha kampeni za chinichini na za wazi kupinga kinachoendelea kwa hatu ambayo yeye sio mjumbe.
Sasa hapo ndio heshima ilipo poromoka na wenzake wakamuona wa kazi gani.
Wale jamaa wa upande mwingine walidhani wakisusa basi hakuna katiba itayotengenezwa.
Lkn ni jambo la heri leo hii tuna katiba iliyo pendekezwa na ni nzuri kwa ssbabu imeshika kila mahali.
Ni jambo la kushangaza pale mwana siasa anaposimama na mishipa kumtoka akisema eti usawa wa kijinsia yaani...
Betlehem. Umeleta maada safi ktk wakati muafaka. Kiukweli zile zilikuwa mbwembwe za uchaguzi tu kuonekana kuwa yeye ndio m/kiti wa chama. Haiingii akilini kuanzisha move then unaenda kula raha mahali hslafu unasikilizia maumivu ya wengine. Haya matamko na mipango isiyo tekelezeka ni kukitia aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.