Mtu mwenyewe umezeeka BAVICHA inataka damu zinazochemka wewe nenda kaungane na ajuza mwenzio FaizaFoxyKulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.
Kulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.
Kibaraka wa Magamba una henya henya huna pa kushika sasaKulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.
Kulikuwa na post hapa alipost Plato usiku jana kuwa Julieth Rushuli ameenguliwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA. sasa haionekani.imefutwa au imekuwaje? na je ameenguliwa au zilikuwa siasa za magamba? tunaomba tufahamishwe.
unaitamani kumbe BAVICHA ha haaaa.....utaumia sana kutaka kurudi maana kama ungekuwa hauipendi usingekuwa unaifuatilia sana HV
Wandugu,
Julieth ameenguliwa kugombea umakamu mwenyekiti wa BAVICHA.Tuhuma zake ni kutumika na Shibuda na Zitto.
Hata hivyo Julieth alikuwa akitumwa Shinyanga na chama kutokea idara ya sheria wakati ule wa kesi za Shibuda.
Tuhuma ya pili ni kuwa alifoji kuwa diwani viti maalumu Karagwe. Hii nayo ni tuhuma ya kuunda tu,chama ndicho huteua madiwani.
Nijuavyo maofisa wa makao makuu "walimtumia" ndio wakafoji wakampa udiwani.Ilikuwa kesi kubwa hadi dokta akahusishwa kutetea,Julieth akapokonywa udiwani. Kwa hilo nalo siyo kosa lake.
Nadhani atakwenda mahakamani. Tungoje kesho vitimbi zaidi.
Kwani huyu julieth anatokea kilimanjaro,arusha au manyara? Kama sio basi alikurupuka masiikiniii.
Sawa kabisa mkuu. Hayo tuyaache ila kuna mdau hapo juu kasema ulihusika katika kumtoboa jicho Kibanda ya kweli hayo? Jisafishe au tubu kosa hilo.ninaitamani sana na nashangaa tulipokuwa tunalala chini wenye sauti sasa walikuwa bado CCM.
Ameonewa
Kwani huyu julieth anatokea kilimanjaro,arusha au manyara? Kama sio basi alikurupuka masiikiniii.