Recent content by ibanga

  1. I

    Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

    mkuu nimecheka kama mnjinga. eti kama una ugonjwa wa moyo unashauri watu wasifike Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  2. I

    Kulewa wakati wa misiba ni tabia mbaya iliyotukuka

    umetema madini mnoo Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  3. I

    Uzi maalumu wa kuelezea uongo kutoka kwa waganga

    bwana wee waganga wapo. mimi nilkuwa siamini haya mambo. Dah Tanga nikiboko aisee. kuna mwamba alikuwa kampuni flani siwajua vijana akapiga hela ili alebata na kuvimba mjini. Jamaa wakashutka mchezo wakamla barua ya kufukuzwa kazi. Jamaa anajamaa ake Kushoto akamwambia njoo na hiyo barua...
  4. I

    Vyoo vya abiria Stendi ya Msamvu Morogogoro vinasikitisha, mamlaka husika zitembelee kujionea

    waafrica ilibidi tuendelee kutawaliwa . hakuna tunaloweza sisi. Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  5. I

    WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

    Dah ngoja niwape visa niilyokutana navyo. 1. 2014 mwezi kama huu nilkutana na malaya mmoja mkalii balaa hapo Ambiance sinza. ila alikuwa kule nyuma kama unaenda central . nikambeba ila alikuwa na aibu balaa. tumeingia chumbani maskini akafunguka kuwa yeye ni mara ya kwanza kuja anatfata pesa ya...
  6. I

    Mwanangu amekuja nyumbani na tatooo baada ya kutoka chuo

    unachosema nikweli kabisa kuna hiki chuo cha uongozi wa mahakama lushoto ni shida kwakweli vitoto vidogo yaani hayo mavazi sasa si wavulana si vibinti . wavulana wanavuta bangi pombe hadi unganadhani yaani wengine ukiwaangalia masikini wapo kama mateja. hadi juzi kuna mmama kaja kumuona mwanae...
  7. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mkuu ebu nipe namna ya kuweke hela 1xbet kupitia vodacom Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  8. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wakamaria hivi kudeposit 1xbet kupitia vodacom utaratibu upoje Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  9. I

    Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

    mazoezi nayaheshimu sana performance ilkuwa ovyo ila toka nianze squats pushaps na mengine mepes mepesi dah yaani napiga mashine mpaka najishangaa afu sichoki Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  10. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hivi wanaposema moroco to score 1or 2 goals . wakaweka Yes na No. swali langu ambalo napenda kuelimishwa. ikatokea moroco kapata goli moja namimi nilchagua Yes je hapo ntakuwa nimemla kanji ? Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  11. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wadau eee. hivi leo England anaweza pata mirusho 20 ya mpira. na Denmark atashinda kweli? Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  12. I

    Wawili niliowabakisha kama marafiki nao nimewafuta!

    dah we upo kama mimi. yaani mimi sina tabia ya kuwapigia watu cm. mpaka ndugu wanasema dah. ila mara moja moja sana ila wakipiga cm kama kuna changamoto natatua. Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  13. I

    Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) Yatahadharisha Uwepo wa Mvua Kubwa Dar es Salaam, Tanga, Pwani na Mafia Jumapili, 12 Novemba 2023

    dah inatosha sasa mtuache wana simba tuugulie polepole. Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  14. I

    Muft mkuu wa waislamu tusaidie kudhibiti misikiti mtaani, uhuru umezidi kwenye vipaza sauti

    ninacho ona hapa watu wanaogopa mawaidha ya baada ya adhana ya asubuhi kisa ni waovu sasa yale maneno yanawachoma. na waovu wanaogopa kifo balaaa Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
  15. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    vip kuhusu kadi za njano zinaweza fika 8 leo kwenye hii game Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom