kweli mkuu mimi nipo hivyo. Zamani nilikua naweza kupita sehem ambayo cjawahi kufika ila cha ajabu nakuta mazingira ambayo kumbukumbu zinaniambia hio sehem nishapita au kuishi ila nakosa majibu ni lini au wapi
Ukiulizwa Mandela aliifanyia nini Afrika....cjui kama unaweza kujaza ukurasa mmoja.
Sasa uliza J.k. Nyerere aliifanyia nini Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.