Yap TATIZO wanawake wengi wanahisi ishu ni pesa tu kwenye mapenzi kumbe Kuna wajibu wake kama mwanamke inabidi afanye sio Kila kitu msichana wa kazi mtu MWINGINE anakuacha tu yaan
TATIZO siku izi hamna SUBMISSIVE WOMAN ANAWEZA AKAWA NA ELA NA WEWE PIA UNA ELA ,ILA MWISHO WA SIKU WHAT IS SHE BRINGING TO THE TABLE!!!?IS SHE CARING FOR YOU,IS SHE COOKING FOOD FOR YOU ,IS SHE RESPONSIBLE FOR MAKING SURE EVERYTHING IS GOING WELL IN THE HOUSE EVEN IF SHE IS BUSY AT LEAST ONCE A...
Sema wewe si mwanamke lazima mwanaume rijali atakutaka kimapenzi.binafsi Mimi sinaga mazoea na wanawake ovyo na sipendagi urafiki na mwanamke ni Bora tusalimiane tu lakini eti ah urafiki big NO ila nikimzoea mwanamke Hadi niwe na HISIA naye za kimapenzi
Mimi kanifurahisha novatus dismas kiraka kaitendea haki full back ya kushoto ila fei toto alichelewa kuingia ground naamini Yuko fit Bado kama game ijayo ataanza mudatiri anakaa sana na mpira sehemu yakutoa pasi atoi
Anayo haki ya kukasirika lakini sio kukulazimisha kufanya mapenzi it means wewe HAUNA HISIA naye za kimapenzi unataka awe rafiki yako tu ,hapo ndio TATIZO linapoaanzia ila kama una HISIA naye inabidi umueleweshe jinsi mahusiano yenu unavyotaka yawe
KABLA ya kutafuta location inabid uangalie eneo husika linaruhusiwa Kwa DLDM Kwa kigamboni ,nakushauri uende Kwa mfamasia wa wilaya ya kigamboni ili akuonyeshe location zinazostahili KUFUNGUA biashara husika then ndio uendelee na utaratibu wa kutafuta frame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.