Familia natumai mko poa sana!
Kuna nimekutana na habari mahali fulani kiukweli inahuzunisha kwa kiwango chake.
Ipo hivi....
Kuna jamaa alikuwa kwenye mahusiano na mwanamke (single mama) wakaishi kwa muda,huyo mama alikuwa na ajira yake. Maisha yao yamekuwa yalikuwa ya kawaida tu namaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.