Vile unavoshangaa wewe juu ya wanaume wanaopenda tentemete kitu chura..kuna wengine tunakushangaa wewe kupenda viswaswadu. Ila yote utukufu wa mungu ndipo unapoonekana kila mtu ana vle anavovipenda. Ila achana kabsa na wezele ndugu yngu hasa lile wezele linalojiweza sio gogo unaweza hisi ww ndo...
Unaonekana kipindi unakuwa single moyo wako na akili yako inakuwa na pupa sana katika kuwa na mtu; hivo yeyote yule anaekuja mbele yako moyo na akili yako vnakuwa separated ktk kufanya maamuzi sahihi ya kuwa nae na unajikuta unaingia ktk mahisiano na mtu usiemtegemea, hivo unajikuta unashindwa...
Kwahili nakubaliana na wewe mkuu kwa asilimia zote. Ukipitia youtube huko unaweza kita nyimbo ni kali sana kutoka kwa underground au wasanii wa kawaida tu yenye views chache.
mimi naona Mbali na underground kujitahid kuomba collabo kwa wasanii wakubwa vlevle naona media zijitahidi kupiga jicho...
Yah ushindani ni muhimu ktk sekta ya mziki ili sanaa ikie ila sisi mashabiki naona tuna tatizo kubwa la kubagua wasanii wakuwasikiliza.. je hili unalizungumziaje ktk kukua kwa mziki
Yah hili linaharibu pia mziki wa bongo fleva kwasababu wengi wetu tumekuwa watu wa kuwasikiliza baadhi ya wanamuziki. Mashabiki tumekuwa wa kuwasikiliza baadhi ya wasanii tu
Acha niandike lile ambalo nimeliona kwa hizi siku za karibuni, si mzuri sana katika uandishi hivo kwenye makosa mtanisamehe.
Awali ya yote heshima yenu wakuu natumai siku imeanza vizuri kwa wengi na wale wenye matatizo Mungu awabariki wapate unafuu kwenye matatizo yao.
Acha niende kwenye point...
Hahaaa watu wanaponda kweli nyimbo. Ila wengi wanaoponda nyimb hii ni wale mashabiki wa msanii na sio mashabiki wa mziki. Mara nyingi kwenye simu yangu huwa nyimbo nikiipenda naidownload ndo maana mpaka leo na nyimbo nyingi za kiba pamoja na diamond, nyimbo hii ni nzuri sana ukiwa mshabiki wa...
Nadhani tatizo lilianzia kwa harmonize kwa jinsi alivoingia msibani na crew ya kutosha. Ulinzi ni jambo la muhimu ila mimi ningeshauri watu WCB wangetakiwa kupunguza crew kubwa hasa ya mabodygurd waendapo kwenye hafla za misiba. Ingependeza zaid angekuwa angalau na mlinzi mmoja alafu angewahi...
Pole sana... ulikuwa unasoma kozi gani iliyopelekea hivo. Suala hilo ni jambo la kawaida kwa maisha ya kusoma ila suala la kuappeal na kuchomoka inategemea na kozi uliyokuwa unasoma. Appliction ndo zinaishia hivo unaweza kufanya process na kuwahi kuomba tena.
Naomba kuuliza walioomba udsm tayari washapata kuona majibu yao? Maana ktk account yngu hamna taarifa yeyote zaidi ya kuambiwa my account has technical error
Ukitaka uwe single au usikule watoto wakali basi jifanye mlokole wa kuwa mkweli kwenye kila kitu kwa hawa wadada wakileo. Sometime mwanaume inabd ujifanye hata unafanya kazi BOT ili utimize lako.. maana dada zetu wamegoma kabsa kukubaliana na wasema ukweli kwenye mahusiano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.