Recent content by Hypasonic

  1. H

    Swali: Kamati ya Bunge wana haki kisheria kuwapeleka Viongozi wa Serikali Polisi?

    Ndugu zangu, tusiwe binadamu wa kujadili mambo mbalimbali yanahusu masuala ya maendeleo ya kitaifa, siasa, sheria na haki kimzahaa ama kishabiki kwani hatumsaidii mtu isipokuwa kupoteza dira ya uelewa wa masuala hayo pasipo shaka kwa masilahi ya upande mmoja na sio uwazi na uwajibikaji katika...
  2. H

    Tofauti ya maombi toka kwa Viongozi wa madhebu ya Dini uwanja wa jamhuri leo

    Ni kweli huyu wa Romani hakuhitaji kutafuta nini akiseme kwa kile anachokijua, na huyu mwingine alitafuta namna ya kuwasilisha alichokuwa akikitaka kifike, Viongozi washauri wa Raisi wasimshauri vibaya raisi kwasababu ya unyenyekevu wake.
  3. H

    Tofauti ya maombi toka kwa Viongozi wa madhebu ya Dini uwanja wa jamhuri leo

    Tofauti ya viongozi wa dini katika kuombea Dua nchi yetu, Wakati shekhe wa mkoa wa Morogoro baada ya Shekhe wa mkoa wa Dodoma kuto tokea, Shekhe anaomba Mwenyezi mungu ashushe adhabu kwa wale wote wanaoipinga Katiba pendekezwa na anaomba Mwenyezi mungu ashushe malaika akawafunge minyororo wale...
  4. H

    Yaliyojiri uwanja wa Jamhuri Dodoma: Rais Kikwete kukabidhiwa Rasimu ya Katiba Mpya

    Tofauti ya viongozi wa dini katika kutoa Dua, Wakati shekhe wa mkoa wa morogoro baada ya Shekhe wa mkoa wa Dodoma kuto tokea, Shekhe anaomba Mwenyezi mungu ashushe adhabu kwa wale wote wanaoipinga katiba pendekezwa na anaomba Mwenyezi mungu ashushe malaika akawafunge minyororo wale wote...
  5. H

    Yaliyojiri uwanja wa Jamhuri Dodoma: Rais Kikwete kukabidhiwa Rasimu ya Katiba Mpya

    Acha uongo bado wawakirishi wa makundi wanatoa salamu zao, lakini ukweli hawatoi salamu ila wanachambua katiba pendekezwa kila sura na ibara zinazohusika na makundi hayo zikiwemo changamoto zilizoainishwa kuhusiana na kero za muungano kama zilivyowasirishwa na iliyokuwa Tume ya kukusanya maoni...
  6. H

    Mjumbe wa Bunge la katiba Salma Saidi akitoa malalamiko yao ziti ya vitisho vinavyo wakabili

    Mahojiano yote yapo chini ya picha kwenye kisanduku cha bluu bonyeza na utapata rekodi ya DW....msikae kukataa tuu maelezo yaliyo wazi, hakika wote wanaokataa ujumbe huu basi walizaliwa na ulemavu wa akili
  7. H

    Jussa: Mchezo umeisha Bunge La Katiba

    The game is over! -by ISMAIL JUSSA LADHU Kwa mujibu wa Samuel Sitta alivyotangaza jana, jumla ya Wabunge wote wa Bunge la Katiba = 629 Tanganyika = 419 Zanzibar = 210 2/3 ya 210 = 140 1/3 ya 210 = 70 Kwa hesabu ndogo tu hapo ni kwamba kuinyima Rasimu ya Vijisenti theluthi mbili (2/3) ya...
  8. H

    Samuel Sitta aunda Kamati ya maridhiano ya kuwasikiliza waliopiga kura za HAPANA

    Maudhui ya jina la kamati lenyewe tuu linatoa sura sawia ya lengo la kuwepo na kamati hiyo, huwezi ukaanzisha kamati bila hadidu za rejea? kwanini kamati hii inasikiliza maridhiano ya wapiga kura ya Hapana na kwanini kamati hiyo haikuundwa tokea mwanzo kabisa kwani hakukuwa na wajumbe...
  9. H

    Hatimaye Russia atia timu Ukraine

    Mimi nashangaa uwezo wa wachangiaji wengine humu ndani, hivi ukisoma taarifa yeyote huwezi kujishughurisha kufanya upekuzi ujue undani wa jambo ndio uchangie? Hii ndio forum ya watu waelewa kweli: Wanaopinga msimamo wa Rusia juu ya majimbo ya kusini mashariki mwa rusia hajui historia na sera za...
  10. H

    Natafuta Mtaji

    Asanteni wadau kwa maoni na michango yenu...mnajua katika nchi yetu hakuna chuo cha afya ya kati chenye maabara ya vitendo..(lab skills) kama inavyohitajika, zaidi ya kuwa na midoli miwili na skeletoni za kufundishia, yaani concentration ya vifaa vingi vilivyopo ni vya Anatomy and Physiology...
  11. H

    Natafuta Mtaji

    Mwenzio akianza kuwekeza wewe unakuja kusapoti nini? Naunga mkono kauli yako kwani wengi hujifanya hawaoni juhudi za watu wengine, lakini ukisha fanikisha basi hao, wanamiminika. ninawashangaa sana watu wa benki, ukiwa na juhudi za kuanza kuwekeza wanakaa mbali, ukianza wanakuja kutaka kutoa...
  12. H

    Natafuta Mtaji

    Ndugu wananchi wenzangu Habari zenu!! Kwa juhudi nilizozifanya mpaka sasa hazijazaa matumaini kabisa (kwa kipindi cha mwaka mzima mpaka sasa), nahitaji mtaji wa kiasi cha shilingi milioni 400. Je kiasi hichi nataka kufanyia nini? Uanzishwaji wa Chuo cha Afya katika wilaya ya Mpwapa Mkoani...
  13. H

    Mfumo wa huduma za fedha kikwazo katika kuwekeza mawazo mapya ya Kiuchumi nchini

    Ndugu wana jamvi....Nawasalimu!!! Nimekuwa mfuatiliaji wa mada nyingi sana katika uwanja huu na kuvutiwa kwa mada kadha wa kadha..nikaona ni vyema nami niwe mmoja wenu. kama mtanzania kijana, niliyepata kuhangaikia maisha, kusoma, kuajiliwa na baadae kukana kuajiliwa napenda kuwashirikisha jambo...
Back
Top Bottom