Recent content by Hussein Obama

  1. Hussein Obama

    KERO Kuna wanafunzi wananyanyasika vyuoni

    Habarini wana JF, Mimi ni mwanafunzi kutoka chuo kikuu kimojawapo jijini Mbeya. Chuo hiki kimekuwa kikibadili sera zake Kila unapobadilika mwaka wa masomo,,, ni hatua nzuri lakini Kuna sera zingine zinabadilika zinawaathiri wanafunzi Moja kwa Moja na hawapewi fursa ya kujitetea au kupewa...
  2. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Humo kwenye vituo tafanya mishe gani.....wale makonda wanatambulika
  3. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Sahihi kaka....bila kuulizia humu nisingejua kwa wakati huu wapi michongo inaweza ikapatikani. Nawashukuru sana wote waliochangia mungu awabariki....
  4. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Bado sema nina mpango wa kuzamia bush huko mbarali huenda nitapata hapa town pagumu asee
  5. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Shukrani kakaa nitasogea huko
  6. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Nomba nielek Unaweza share hapa kiongoz au nikutumie namba ya watsup?
  7. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Hi Hilo dili linapatikana vipi niunganishe na mm nipe namba yako kiongozii
  8. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Kaka mm natafta hizo hizo kazi za vibarua sio za ofisin kama unafaham mahali pana hizo kazi niunganie au nipe utaratibu zinapatikana vip
  9. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Ni mhitimu wa bachelor of art with education mwaka 2019
  10. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Habarini wakuu, Naomba kwa anaefahamu sehemu wanatoa vibarua kwa siku Mbeya, iwe ni kiwandani ama kwenye miradi ya ujenzi, barabara n.k naomba anisaidie conection au utaratibu wa namna ya kupata hivyo vibarua nina uhitaji nacho sana nawaomba wakuu kwa waliopo Mbeya.
Back
Top Bottom