Naukifika kama 50 RIP hawadumugi na wazee uzeeni na jaribu kumuambia tu mkeo jambo moja zuri.
Mke wangu tofautisha kazi na home mimi nipo home na watoto sio sawa na shuleni huko unawagombeza vitoto vya secondary.
Watoto wa secondary ni wakubwalicha hao waprimary.
Inshort mtofautishie watoto...
JamiiForums Kenya, JamiiForums TanzaniaWadau wa JF
Nyie ndio nilikuwa napenda mfahamu na mchumba sio hata mume tena mzungu sio weupe wenu naujue hili sikuwa najiamini kwa maana humu nimeblokiwa mtasema mengi ila situmi picha msiniloge
JamiiForums Kenya, JamiiForums TanzaniaWadau wa JF
Wazungu wanataka mtu kichwani anajielewa so mbali na hapi witnesi utatukana sana mpaka uchoke mimi nimeshafundwa najielewa nimwanamke ambaye na staa
Nanimeanza kuvumilia kama haya mimi ninafurahi sana nikiwa na mtu kama wangu huyu kwa maana nimetoa stress kama zako.
JamiiForums Kenya, JamiiForums TanzaniaWadau wa JF
Mbona mapovu hivi???
Nini shida??
Ila mnapoint kwanini nisibadilishe id couse sijaolewa bado .
2. Muda anaopata kuandika hivi
Hivi nyie ngoja niwe mmpole kabisaa umeonea humu nakuringiwa nakublockiwa utaacha kuwaringia kama walivyokuringia sema tu wewe mwenyewe.
Tatizo sio wivu ni hamuamini...
JamiiForums Kenya, JamiiForums TanzaniaWadau wa JF
Asanteni kwa haya.
1. Mmenichagulia gauni zuri la maids .
2. Mmenipa support siku zote hizi kwa ushauri na mengine.
3. Nawatakieni amani na furaha.
Leo ninafuraha nimepewa visa ya Finland katika Ubalozi wao. Tumepiga picha nyingi ila naogopa kuwapa. Passport nilipata sikunyigii. Tu tena zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.