.Kwa mujibu wa takwimu za Wizara hiyo takribani Watanzania 31,282,331 wamejiandikisha kupiga kura katika zoezi lililoanza Oktoba 11 mpaka Oktoba 20,2024. Kwa kulinganisha na takwimu za Sensa ilizofanyika mwaka 2022 ambapo zilionesha watu wenye umri wa miaka kumi na sita na kuendelea walikua...
Uwii watu wanajadili bila hata kuisoma kesi! Hakuna Mahali Milcom wanabisha kuvujisha tracking ya TL. Wao walichokuwa wanabisha ni kuwa "hiyo haikuwa sababu ya sisi kukufukuza, tulikufukuza kwa redundancy" hapo ndio pa kuanzia
Mheshimiwa pamoja na ile barua ya kuomba radhi Watanzania bado kafanya kosa juu ya kosa. Yusufu (na mkewe) alikwenda mji wa Daudi unaoitwa Bethlehemu na si Yerusalemu. Hili ndilo jambo ambalo watu wengi hawajaligundua. Tusome:
Luka 2 : 4-5
4 Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa...
Mizengo Kayanza Peter Pinda: Huyu ni Waziri Mkuu wa kumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alichukua wadhifa huo akiipokea kutoka kwa Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa aliyejiuzulu. Aliteuliwa tarehe 7 Februari, 2008 na kuthibitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 9...
Bahati mbaya hujajibu swali langu. Je, BUNGE litakuwa kamili? kama ndiyo, basi ndiyo kusema hakuna mantiki yoyote ya baraza la wawakilishi kuwalilishwa katika Bunge la muungano kama ilivyokuwa imekusudiwa kikatiba. Naona mnajadili kijuujuu sana.
Ndugu Nguno soma katiba uelewe. Kuna wajumbe 5 wanaochaguliwa na baraza la wawakilishi miongoni mwao kuwa wabunge katika bunge la Muungano. Mimi ni mstaarabu wengine wangeshakuambia wewe ni division 5 au graduate wa shule ya kata na majina mengi.
Asante: labda niulize swali katika namna nyingine. lets say kundi la wabunge wanawake halipo bungeni au makundi yote yapo isipikuwa lile la wabunge wakuchaguliwa majimboni halipo/halijachaguliwa kwa sababu moja au nyingine. je, bunge litakuwa complete? swala hapa sio qorum.
Bunge la Tanzania lina makundi 6 ya wabunge (Rejea Ibara ya 66 ya Katiba).
Kuna wabunge watano wanaochaguliwa na baraza la wawakilishi miongoni mwao kuwa wabunge katika bunge la muungano.
Je, Bunge linaweza kuwa kamili bila kuwepo category mojawapo ya wabunge?
Ufafanuzi kwa mwalimu mstaarabu Mongi wa St. Jude.
Mbatia anahoja kama ulivyosema na ndivyo nilivyo sema katika makala yangu ( kama uliisoma kwa makini) kuwa utafiti na hoja zake si za kupuuzwa hata kidogo. Hoja yangu nikwamba tusije tukafukia shimo kwa kuchimba shimo jingine. Kwamba tusije...
Ufafanuzi
Ujumbe ulioufikisha ni kudhihirisha upumbavu wako. Watu wanaona mwalimu mkuu huyu ni pimbi kushindwa kuelewa kwanini ramani moja maathalani, ikaonyesha GERMAN EAST AFRICA na nyingine TANGANYIKA na nyingine ikaandikwa JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA na baada ya muda fulani pakawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.