Yani kwa akili yakawaida ambayo mtu si mpaka apelekwe shule miaka 7,4,2au3.nani anaweza kosa fiesta ya bure na wakati kuipata kwa malipo haipungui msimbazi 2au3,hivyo basi tusidanganyane fuatilia maeneo ambayo MZEE wa push up alikofanya mikutano bila hao wasanii nyomi ilikuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.