Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
Hakuna amani itakayo vunjika labda usema UKAWA mtavunja amani. Be more specific.
kwa sababu hizo mita 200 mtawafata na kuanza kuwapiga, we unategemea nini hapo, mkiwaacha mita 200 hawatafanya lao,