Elections 2015 Hakuna kifungu cha sheria kinachomruhusu mpiga kura kukaa nje ya mita 200 toka kituoni akilinda kura

Kila Kituo Cha Kupgia Kura Aman Ilindwe, Kama Mnakataa Kutii Sheria Tutawasaidia Kuitii
 
Ukawa wapuuzi kweli
Sasa unalinda kura ukiwa nje wakati kura zinahesabiwa ndani
Upuuzi mtupu
Na uharo
Huu

Kwan hamna mawakala?

".......mtu akikuambia upige kura na ulinde kura ..mwambie mzee njoo tulinde wrote..."
Kanali kinana

Kama unaona ni upuuzi kwa wananchi kukaa umbali wa zaidi ya mita 200, kwa nini usiwaache waendelee kukaa huko? Unaogopa nini kama ulinzi wao hauna athali kwa anayetaka kuiba?

Waache waendelee na upuuzi wao wa kulinda kura zinazohesabiwa ndani pasipo kwenda kuwavuruga huko waliko!
 
ImageUploadedByJamiiForums1444986143.237053.jpg
 
Ndugu zangu hicho kifungu cha kutomruhusu mpiga kura kukaa karibu na eneo la kupiga kura baada ya kupiga kura nadhani kimewekwa kwa dharura ili kuepusha vurugu kutokana na hali ya kisiasa ilivyo kwasasa nchini. Kwahiyo wakati mwingine ni lazima malofa mjiongeze kiakili, ni lazima mkubaliane na hali ilivyo hata kama hamtaki!
 
Ndiyo kuna Sheria inayozuia watu kukusanyika bila ya sababu, Serikali ndiyo yenye jukumu la kuamua ni ipi sababu inayoruhusiwa kukusanyika na wapi ni sawa kukusanyika na wapi siyo sawa, kama yalivyo mambo mengi tu!

Baada ya matokeo kubandikwa watu wanaruhusiwa kwenda kuyasoma kinachokatazwa ni kukusanyika kukaa na kusubiri!

Mwisho hii ni Amri kutoka kwa Raisi wa JMTZ ambayo kwa kawaida haipaswi kupingwa na binadamu yoyote yule ndani ya TanZania na wewe unapaswa kutii tu bila shurti, ni rahisi kihivyo tu!

Ndio maana tukawa na sheria, sio kwamba kila anayemka tu anatoa matamko kisa kashauriana na mkewe usiku anaanza kutoa miongozo isiyo na kichwa wala miguu. SHAME.
 
Dawa hakuna sheria inayoruhusu MTU kukaa mita 200. Sasa MKUU tuletee sheria basi inayokataza MTU Lukas mita 200
 
Si vema kuwataka watu walinde na wewe hulindi! Nakumbuka mauaji ya sowwto Arusha, mbowe alisema anao ushahidi lakini mpaka leo kimya.
 
Rais wa tz kwa mamlaka aliyonayo akisema kitu inakuwa ni sheria mzee

We kweli tutusa! Kama usemavyo ni Sawa kazi ya Bunge ni nini? Kwa nini sheria zote zitungwe bungeni na mwishoni rais ana assent? We ni popoma popoma popoma. Hivi ukiwa ccm akili huwa zinayeyuka?
 
Kwani sheria hiyo inakataza moja ya shughuli zako ambazo imekuambia unaweza kuendelea nazo kuwa na kulinda kura? Kama umeamua moja ya shughuli zako siku hiyo kuwa ni kulinda kura, je sheria inazuwia hilo?
Unakuwa Mlinzi bila mshahara,inachekesha
 
Si vema kuwataka watu walinde na wewe hulindi! Nakumbuka mauaji ya sowwto Arusha, mbowe alisema anao ushahidi lakini mpaka leo kimya.
 
Wasomi Wetu Wananishangaza Sana, Unakutwa Mtu Anajiita Mwanasheria Wakati Hata Baadh Ya Sheria Hazijui, Nina Mashaka Sana Kama Waafrika Tutaacha Uzembe Wa Kujisomea Maandiko Mbalimbali.

Sheria INARUHUSU MTU KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KAWAIDA KWA UMBALI WA MITA 200 KUTOKEA KITUO CHA KUPGA KURA ,NA SI KUKUSANYIKA PALE KULINDA KURA, ANAYERUHUSIWA KUKAA PALE KITUON KULINDA NA KUHAKIKI KURA NI WAKALA WA CHAMA HUSIKA;

MAONI: Natoa wito TAKUKURU wasambaze maafisa wao kila kituo cha kupigia kura na wakae ndani, maana hata mkikaa kundi nje eti mnalinda kura haisaidii kama wakala wenu ana matatizo chungu nzima, ada ya watoto, kodi, madeni, halafu apatiwe milioni 10, kubadili matokeo, tena anahamishiwa kwa Mpesa hapo chumbani sijui kama anaweza kukataa, na mtakaokuwa mita 200 ndo nashangaa mtajuaje hiyo, nakushauri Mbowe tumia akili hiyo.

sheria inatamka mtu anaweza kukaa meta 200 KUFANYA SHUGHULI YA KAWAIDA, je KULINDA KURA sio SHUGHULI YA KAWAIDA? mtoa mada una matatizo.
 
mkuu KAOROGOMA, jaribu kutumia hata akili kidogo uliyobaki nayo kichwani ili ikusaidie kufafanua baadhi ya mambo mtambuka.

sheria inaruhusu mtu kufanya SHUGHULI YA KAWAIDA nje ya meta 200 ya eneo la kupiga kura. sawa. je, KULINDA KURA sio SHUGHULI YA KAWAIDA?

naomba upambanue SHUGHULI ZA KAWAIDA ni zipi na zisizokuwa za kawaida ni zipi kwa mujibu wa sheria hiyo badala ya kutoa mapovu bila sababu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom