Pole sn kak*Mm ushahur wngu uwe unakula matunda yakutosha kak"Yn Mapapai mandiz yakuiva uwe unakula muda wte*tena km inawezekn asbh kabla haijala chochote pata papai lako hata zima"yn zoez hilo ulifanye kwamuda hata wmwez"au nazais kidogo*bs majjbu utayapata*tena km ukiwa nabahati yawezekn...
Mtoto wangu ana umri wa miaka 13 anasumbuliwa sn namaumivu yakichwa' nakujicikia hali yakizungu zungu mara kwa mara yn huwa aipiti hata wiki huwa linamtoke kwa hiyo muda mwingi sn huwa anateseka mpaka namuonea huruma sana mwanangu" na huyu mtoto mwakani Isnha'allah anaingia Std7 Sasa wasi wasi...
Mtoto wngu anadoa usoni chini yajicho"na ameshatumia dawa kadhaa zatyub navidoge lakini doa bado alijaisha wala kupungua'nalinazidi kukua kidogo kidogo' kwahiyo kwa anayejua dawa yakulimaliza doa hili kwenye uso wamwanangu naomba msaada wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wngu anadoa usoni chini yajicho"na ameshatumia dawa kadhaa zatyub navidoge lkn doa bado alijaisha wala kupungua'nalinazidi kukua kidogo kidogo'Kwahyo kwa anayejua dawa yakulimaliza doa hili kwenye uso wamwanangu..naomba msaada wke..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wngu anadoa usoni chini yajicho"na ameshatumia dawa kadhaa zatyub navidoge lkn doa bado alijaisha wala kupungua'nalinazidi kukua kidogo kidogo'Kwahyo kwa anayejua dawa yakulimaliza doa hili kwenye uso wamwanangu..naomba msaada wke..
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafs naona wala hakuna 7bu yamwamba kupoteza furah zke kwa eti kwajir yahuyo mdada"Nakm nikhs huo wmbo wandindi huo niwimbo tu km zilivyo nyimbo nyingne.Nahuyo mdada lazima tujue kuwa mziki ndio kaz yke"naktk huo wimbo mbn hakumtaja mtu jina..
Nasumbuliwa navidonda vyatumbo takribani km miaka miwili sasa'kwahyo naomba km kunamwenye kuweza kunisaidia kwakunifahamisha dawa yakunisaidia ili hili tatizo langu liweze kupona nakuisha kabisa.
MziziMkavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.