Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,262
- 123,004
Jamani kipenzi changu
Sawa kipenzi changu najua utanisamehe tuBado uko kwenye mizani, acha kwanza hasira zangu zitulie ndo nitakujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mtu unaamka na kuleta mada kama hii? Kweli tunasafari ndefu sana kama nchi ndio maana tupo kwenye 10 bora ya nchi maskini sana duniani!!Siamini kabisa kiufupi leo nimemaliza mwezi kabisaa leoo
Heko kwa kuweza kutunza mbunyee hiii
Shemeji yenu yupo masomoni natarajia kukutana naye mwezi wa 12 hivyo nitakuwa nimekaa miezi mingapi?
Miezi 4 kuelekea mitano maombi yenu tafadhali nitimize ahadi .
Siku tukikutana nitaleta mrejesho wa show kabambee na jinsi hiyo mbunye itakavyokuwa imebanaa banuuuu
Hakika mlogi kanipata haswa sijawahi kuvumilia kama hivi yanii woiiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe na wewe una akili ya mwendo kasi eeeh!Ngoja nikae sawa nitaruka na hicho kitumbua ndotoni
Njoo nikupakate kipenzi najua umechoka sana na mihangaiko
Hivi kumbe na wewe una akili ya mwendo kasi eeeh!
Aisee!! ",si kutakuwa kumeota na kutu kabisa huko chini!!..Hongera, siye wengine mwaka unaenda kukata huu
hongera kwa mlogiHakika mlogi kanipata haswa sijawahi kuvumilia kama hivi yanii woiiiiiii
Wacha nishuke kusalimu