Hujui......Wakitaka tuwapende lazima wafanye kama zamani, ndipo tutakapowakubali kuwa nao ni ma Askofu kama hao wengine wanaotupigia chapuo!.....Sijui.....Kuanzia sasa ujue, tunatangazia dunia hivi; Askofu yeyote akiwa upande wetu, huyo siyo adui yetu maslani!
ONA SASA PENDEZAAA EEHEEE!
Hujui...... Nimeamini kweli wewe ni Dr. mwenye akili!.......Sijui......Dozi kidogo tu unawaacha wapiga domo wasiojaa kiganjani humu jf wakipoteana!!! Kongole.
Hujui.....Aliyewaloga baadhi ya waTZ hajazaliwa!.......Sijui.......Mmh! TBC wanatafuta umaarufu siyo!! Binadamu msiyokuwa na soni, sasa hata hiyo Katiba mpya na Tume huru mnazodai nazo si mzitafute nyumba kwa nyumba? Maana msije kutumika kama ngazi......!!!
Hujui......Hapo Kawe hatuchagui malaika ndugu!!....Sijui......Kama ni kweli myasemayo, mbona alipokuwa hapo...., upuuzi huo hatukusikia? Mungu mwenyewe anapingwa na watu hata wengine hudiliki kupinga uumbaji wake! Pamoja na yote hayo Mungu hakuacha kuonyesha upendo wake ndiyo maana; jua, mvua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.