Recent content by Huja

  1. Huja

    Picha ya Trump akijifananisha na Yesu yapata ukusoaji mkubwa mitandaoni

    Mungu akikupa uhai utagundua mchele na chuya
  2. Huja

    Papa Leo: Siogopi utawala wa Trump. Nazungumzia Injili, mimi si mwanasiasa

    Ni wazi kuwa dunia ya ubinadamu inajitenga na isiyo ya kibinadamu... Na ndivyo kizazi cha historia kiltakavvyoelekea ...kwa kuwa kitaisoma historia...kisha kitafanya judgement kwa msingi wa nature ya kimaumbile ya ubinadamu.... Washabiki wa kambi dhulma ni kifuniko cha macho kinachopumbaza...
  3. Huja

    Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC : CRDB Confederation Cup : 12/4/2026 Sheikh Amri Abeid Arusha

    Simba angekuwa anacheza kwa kasi Hii... Foward ilikuwa inajaa haraka ktk 18... MAEMA amemtendea haki kusafirisha mipira..... Natamani simba itpate na mbadala ya DIFFENDER RUSHNE ...Kama atawezesha flow ya speed
  4. Huja

    Mabadiliko makubwa katika nguvu ya dunia: BRICS sasa inavutia jumuiya ya kiarabu

    Hizo NEDIA kubwa duniani zina mkono ya wayahudi.... Hiyo taarifa ni kumchezesha TRUMP kuwalekea majadiliano ya Ceasefire... PAKISTAN
  5. Huja

    Simba tuache kuwajaza ujinga wachezaji wetu

    Ahmed Ally anachofanya sio professional kabisa....to much overrating kwa players....ni kama wafu wanafurahia hizo comedy lakini inawafanya akina GUEYYE, AURA, LOEMBA, MAURICE, MPANZU hawatulii bali kutaka ku prove individually
  6. Huja

    US yaionya Vatcan: Marekani ina uwezo wa kijeshi wa kutenda inavyotaka

    Devil worshippers wafanye yao ..kisha warudi kwenye madhabahu
  7. Huja

    Wakristo mnaoishangilia Israeli inapoipiga Iran, mnakosea sana

    Jicho la uadilifu linahitaji msingi sahihi wa imani ...
  8. Huja

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Hata kama simba itamsajili Gud foward..... bado uhuru utaendelea... timu haina mbinu za ushambuliaji... Angalia dk 1 hadi 90 ... shambulizi gani la kutengeneza ili umlaaumu SELEMANI MWALIMU zaidi ya sideway passes....na distant shooting... Kuna wakati mwanzo KIBABAGE akitumika kujenga...
  9. Huja

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Timu imekosa mbinu za ushambuliaji
  10. Huja

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Kama kawaida kulikuwa na haja gani kwa LOEMBA ku shoot....
  11. Huja

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Ni kama simba fowardline ikifika ndani ya 18. Hawana plan ya kugongeana.... AURA anapiga, Mwalimu anapiga,, Gueyye anapiga ... Kwani nn hilo halioni kila mechi...
  12. Huja

    Hormuz Itafungwa Tena

    Waliosema wanakwenda kuwaokoa raia wa IRAN ndio tena wanatishia kuharibu miundombinu na ustawi wa rais hao hao...... Nani ana nia njema ..yule dunia iliambiwa ni taifa OVU au yule anayewalinda raia wake.... Hivi ni aibu ya karne... Nadhani taratibu kuna generation itaanza kuuona ukweli na kuanza...
  13. Huja

    FT: Azam FC 0-0 Simba SC | Aprili 5, 2026 | Safari ya kuikimbiza Yanga ni ngumu

    Moja ya mechi SIMBA wamecheza fantastic licha ya goalless.... Tupate tu foward ambao hawasubiri 2;, 3 chances
  14. Huja

    FT: Azam FC 0-0 Simba SC | Aprili 5, 2026 | Safari ya kuikimbiza Yanga ni ngumu

    2 Clear PENALTs... Kama sio mapenzi ni nini
  15. Huja

    FT: Azam FC 0-0 Simba SC | Aprili 5, 2026 | Safari ya kuikimbiza Yanga ni ngumu

    Duh....Arajiga anameza CEAR PENALT ya SIMBA
Back
Top Bottom