Ni wazi kuwa dunia ya ubinadamu inajitenga na isiyo ya kibinadamu...
Na ndivyo kizazi cha historia kiltakavvyoelekea ...kwa kuwa kitaisoma historia...kisha kitafanya judgement kwa msingi wa nature ya kimaumbile ya ubinadamu....
Washabiki wa kambi dhulma ni kifuniko cha macho kinachopumbaza...
Simba angekuwa anacheza kwa kasi Hii...
Foward ilikuwa inajaa haraka ktk 18...
MAEMA amemtendea haki kusafirisha mipira.....
Natamani simba itpate na mbadala ya DIFFENDER RUSHNE ...Kama atawezesha flow ya speed
Ahmed Ally anachofanya sio professional kabisa....to much overrating kwa players....ni kama wafu wanafurahia hizo comedy lakini inawafanya akina GUEYYE, AURA, LOEMBA, MAURICE, MPANZU hawatulii bali kutaka ku prove individually
Hata kama simba itamsajili Gud foward..... bado uhuru utaendelea... timu haina mbinu za ushambuliaji...
Angalia dk 1 hadi 90 ... shambulizi gani la kutengeneza ili umlaaumu SELEMANI MWALIMU zaidi ya sideway passes....na distant shooting...
Kuna wakati mwanzo KIBABAGE akitumika kujenga...
Ni kama simba fowardline ikifika ndani ya 18. Hawana plan ya kugongeana....
AURA anapiga, Mwalimu anapiga,, Gueyye anapiga ...
Kwani nn hilo halioni kila mechi...
Waliosema wanakwenda kuwaokoa raia wa IRAN ndio tena wanatishia kuharibu miundombinu na ustawi wa rais hao hao......
Nani ana nia njema ..yule dunia iliambiwa ni taifa OVU au yule anayewalinda raia wake....
Hivi ni aibu ya karne...
Nadhani taratibu kuna generation itaanza kuuona ukweli na kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.