Recent content by Huja

  1. Huja

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Kwa nini team nzima imeshamshangilia. ABRAHAM
  2. Huja

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Before 1st leg...kocha wa MUGHTY aliongea shit kuhusu simba...kuwa hawatishi
  3. Huja

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Hii ndio TASTE kwa DOUMBIA kama ilikuwa ni choice ya CHAMPIIONS LEAGUE
  4. Huja

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Siku MAEMA akiwa Ktk FORM... Team inatembea
  5. Huja

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Itawafunga SOMALI, DJIBUT 5 , 6 ... Lakini simba ndiye anaweza kuwafunga watu wengine 6 ... Leo anakufa mtu 6
  6. Huja

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Hii ndio inaitwa RETURNS OF SIMBA.... hapa ndipo na- mmiss MANARA
  7. Huja

    JamiiForums Tanzania Hersi anahusika kutengeneza wahuni kwenye soka

    Soka limevamiwa na UHUNI mwingi... tukidhani ndio maendeleo..
  8. Huja

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Kama vyombo vya usalama vipo SERIOUS... Huyu mtu atafutwe na hatua kali zichukuliwe for public interest....kabla ya mamlaka za nje..... Hili ni doa kwa Taifa...( Hatuna uhuni huu, hata mech za Deby hatufiki huko)... TZ Tunaandaa AFCON
  9. Huja

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Team kubwa halafu unasajili striker eti kafunga magolii 8 ya kichwa. Kati ya 17: ...wakati miguuni hakuna kitu... scouting ya nani ....?
  10. Huja

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Nafasi kama ile DOUMBIA...hamna striker pale...... SELEMAN MWALIMU mara 200
  11. Huja

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Huyu KALETSO ni hovyo...
  12. Huja

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Huu mechi inahitaji Akili.... Ni muhimu CHAMA aingie badala ya KALETSO.... DOUMBIA sio .
  13. Huja

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Hawa WAMALAWI huenda wakawa wagumu...wanarudi nyuma kwa haraka na wakipata mpira wanasogea kwa haraka
  14. Huja

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2-0 Geita Gold | NBC Premier League | Maj.Gen Isamuhyo Stadium | 31-08-2026

    Bado SCORING techniques """... Kwa dominance yao wangeweza kufunga 3-4:goals.. ..lakini wanakosa mpango wa namna ya kujipanga Ktk box..
Back
Top Bottom