Simba inakosa kiungo fund mchezeshaji mwenye nguvu kwa ajili ya shambulizi la haraka....
Napata shaka na uwezo na energy ya kibabage hasa kwa team zenye nguvu ....DUCHU Anachechelewa sana kufanya maamuzi
Angalia sticking mfumo....ni kama kocha hajatengeneza mbinu za pamoja za ushambuliaji...
LOEMBA, GUEYYE, KAGOMA wanacheza more individual than team work...lakini bado sioni lawama kwa Dombia kwa team ambayo hutengenezi clear fiinal assist
The West spent billions on propaganda to deny Imam Khamenei’s popularity. But the massive crowds gathering to bid farewell have exposed those lies to the entire world.
The West spent billions on propaganda to deny Imam Khamenei’s popularity. But the massive crowds gathering to bid farewell have exposed those lies to the entire world."
Tukio hilo la kitaifa... nimeipa Iran .nguvu kubwa ya ndani.. jambo ambalo ni muhimu sana kimkakati....inatia ujumbe mkubwa.... ndio maana wataalamu wa kijeshi US, + ISRAEL walisema ni big mistake
Upeo wako ni mdogo sana ktk Theology na namna misingi ya imani ilivyojengwa....ni vipi wewe unapima uhalali na uhalisia....
Na unaamini pia YESU aliteswa, kusulubiwa, na kuuwawa...
Wale waliofanikiwa hayo kwa YESU unawapa Maksi gani....Yako matendo na matokeo ni kujifurahisha tu kwa maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.