ingawa MPANZU alitoa assist ya hili la pili ,, lakini hachezi team work...hadi ashindwe...
Assist ya CHAMA ingekuwa MPANZU angeshoot tu.....
Alipata nafasi nyingi za kuchezesha team lakini alshooot...
Wenye akili wanajua michomgo..
Ni ngumu kwa ulinzi ule ...mtu aende tu tu na silaha vile ..
Soma nini kinaendelea.....
Aliyetoa pole na kushtuka anajua
Hakuna nchi ya kikristo kwa imani yake inaweza kufanya alichofanya iran....
Wengine ( us,eu ) wanafanya kwa ajili ya maslahi tu...( Materials)....
Nawaza dunia ya miaka 100...kizazi cha ulaya na Marekani kitakapong'amua ukweli kuhusu uislamu ....!!!
vurugu yote ya myahudi ni hofu ya existance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.