Recent content by hueyfreeman

  1. hueyfreeman

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Na hakuna VITA yoyote aliyopigana..namkubali sana harakat zake kasoro tu hii ya madawa,ameifanya ionekane na kuaminika kua ni vita rahisi sana kwa namna alivoifanya,wakat katika uhalisia wa madawa ya kulevya alichokifanya ni kupiga kelele tu kutafuta kiki,vita ya madawa sio kukamata wasanii watu...
  2. hueyfreeman

    Raman/Plan ya nyumba ya vyumba 3

    Naipataje hata hyo japo niibie ibie
  3. hueyfreeman

    Natafuta raman ya nyumba ya room 3

    Hahaha..mkuu sio kila kitu na hela,sikuhizi zipo tu hizi vitu
  4. hueyfreeman

    Natafuta raman ya nyumba ya room 3

    Niko dodoma mkuu
  5. hueyfreeman

    Napata wapi duka la perfume original huku Arusha

    Mimi ni mgeni kutokea huko Mbeya, hapa Arusha sijajua vizuri wapi naweza pata duka la manukato original.
  6. hueyfreeman

    Natafuta raman ya nyumba ya room 3

    Wadau kama kuna mwenye raman ya nyumba room 3 anisaidie..au hata link ya pahal naeza pata
  7. hueyfreeman

    Raman/Plan ya nyumba ya vyumba 3

    Wakuu naomba mwenye raman ya nyumba ya vyumba vitatu anisaidie
Back
Top Bottom