Recent content by Huey freeman

  1. Huey freeman

    UKAWA watagawana Majimbo na madaraka kama ifuatavyo

    mbinu za ushindi ndo zinajadiliwa hapa.....wewe umeona nimejitaja hapa kua hata napewa hata ubalozi wa mtaa.......
  2. Huey freeman

    UKAWA watagawana Majimbo na madaraka kama ifuatavyo

    james mbatia mwenyekiti mwenza wa ukawa alishajitoa kwenye kinyang,anyiro cha urais kupitia ukawa kwa dhamira yake ya kutaka kugombea ubunge wa jimbo la vunjo. kwa katiba yetu ya sasa waziri mkuu inampasa awe mbunge hivyo ni dhahiri kua Mbatia kawaachia Mbowe, Prof Safari, Prof Lipumba...
  3. Huey freeman

    President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

    hana tofauti na idd amini sasa wachina walivyokua na matusi hawakumtambua kama dr. kwa hata kuandika jina lake na dr.kikwete xaxa wamempa u prof wa kusafiri.
  4. Huey freeman

    CUF, CHADEMA, NCCR mko tayari kupoteza ruzuku kwa sababu ya UKAWA?

    umeandika vizuri lakini mwanzo umeanza na matusi, siasa inahitaji uvumilivu na displine....itabidi uangalie maneno unayoyatumia next time. labda uniambie ruzuku kwa vyama vya siasa inatolewaje na kipindi gani?
  5. Huey freeman

    CUF, CHADEMA, NCCR mko tayari kupoteza ruzuku kwa sababu ya UKAWA?

    nadhani hamjanielewa....mnafikiri pesa za kampeni zina chumwa...
  6. Huey freeman

    Ghetto Redio 94.5 Fm ndani ya Dar es Salaam Tanzania

    cloudsccm wananuna....
  7. Huey freeman

    CUF, CHADEMA, NCCR mko tayari kupoteza ruzuku kwa sababu ya UKAWA?

    niambie wapi sipo sahihi....mimi ni mfuasi wa ukawa lakini hch k2 kinahitaj majibu
  8. Huey freeman

    CUF, CHADEMA, NCCR mko tayari kupoteza ruzuku kwa sababu ya UKAWA?

    Kwanza nianze kwa kukanusha la hasha hakuna aliyenituma. nimekaa nikafikiria kwa kipindi kirefu kua vyama vya upinzani vinategemea ruzuku kama chanzo kikubwa cha mapato na kuna siku nilimsikia kiongozi mmoja mkubwa akisema hata cha kikiangukia nafasi ya pili kinakipa chama nafasi ya kupata...
  9. Huey freeman

    Eti Dk. Slaa, Prof. Lipumba, Mhe. Mbatia ni dream team

    BG28YB584 Imethibitishwa Umepokea Tsh7000 kutoka kwa Nape Nnauye Salio lako la M-PESA ni Tsh7000
  10. Huey freeman

    BBC Dira ya Dunia: Mh. Mizengo Pinda akiri kugombea Urais kimya kimya

    linda bora kajitokeza mmama kuwe na uwiano wa kijinsia
  11. Huey freeman

    Lubuva: Mgombea mmoja UKAWA sawa

    Makamu Mwenyekiti wa UDP, Issack Cheyo alivishutumu vyama vikubwa vya siasa kwa kuwa vyanzo kuvunja makubaliano ya maadili ya uchaguzi... “T
  12. Huey freeman

    CHADEMA ni selfish, UKAWA kuweni macho

    una ni include kama unanifahamu....mimi ni mwanachama wa cuf....hiyo mlikua ?????? ulikua umenijumuisha na kina nan?
  13. Huey freeman

    CHADEMA ni selfish, UKAWA kuweni macho

    jiheshimu . 7000 inakudhalilisha ndo unavyotumia elimu yako ya chuo kikuu kuandika upumbavu.
  14. Huey freeman

    CHADEMA ni selfish, UKAWA kuweni macho

    wewe inakuuma nini.???? una baba yako cuf au nccr?????
  15. Huey freeman

    Makamu wa Rais awahimiza watanzania kulinda Amani.

    mmeshindwa kulinda tembo mtaweza kulinda amani???
Back
Top Bottom