Recent content by hudson junior

  1. hudson junior

    Msaada: Mahali pa kujifunzia magari (Driving school)

    Yah wanakushughulikia na uzuri unapata mda mwingi wa kuendesha kidogo na walimu wapo vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  2. hudson junior

    Msaada: Mahali pa kujifunzia magari (Driving school)

    Haha upya wa kibongo sio ule upya wa kizungu yani yana condition nzuri yana ac na gia ni laini na sio machakavu ndo namaanisha hvo maana driving xkul nyingine gari unaenda jifunzia mpka unaliogopa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. hudson junior

    Msaada: Mahali pa kujifunzia magari (Driving school)

    Nenda HARVARD DRIVING SCHOOL wapo vizuri sana na magari yao ni mapya Namba zao za simu: +255688127575 0717305111 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. hudson junior

    Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

    Vipi kuhusu noah mimi nataka niingie kwenye business ya noah Sent using Jamii Forums mobile app
  5. hudson junior

    Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    Hesabu kwa siku au kwa wiki kwa bajaji inakuaje maana kuna jamaa kasema 140K ukipiga mahesabu mwaka unaisha na hela ya bajaji haijarudi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. hudson junior

    Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

    Me nataka kuanzisha biashara ya kuuza electronics na vifaa vya computer na simu na vingine kama cables na nini nauliza ntapata wapi kwa bei ya jumla na bei poa nataka kufungua hyo biashara Dodoma Sent using Jamii Forums mobile app
  7. hudson junior

    Kwa kauli hii ya Rais, watumiaji wa mitandao tuko salama?

    Bro kuna wabongo wanajua technlojia hyo kulko unavodhani na wapo wengi tu we jidanganye tu na siku hizi tools za kuspy unannua tu kwa ma hackers proffesional so hata serikali inaeza nnua tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. hudson junior

    Kwa kauli hii ya Rais, watumiaji wa mitandao tuko salama?

    Jipe moyo tu kijana kuna wachina kibao mafundi wa cyber wapo wanashirkiana na serikali sasa wew sema hawaezi wafatilia na ISP wote wa tz wapo monitered na TCRA na siku hizi kuna proffesional hackers wapo ulaya wanauza tech za kuspy watu kwa serikali za kiafrika mfano ni serikali ya Ethiopia...
  9. hudson junior

    Hakuna nchi iliyowahi kusonga mbele kwa kukandamiza Demokrasia

    Ipo North Korea Sent using Jamii Forums mobile app
  10. hudson junior

    Hali ya Bulaya bado tete baada ya kuhamishiwa Muhimbili

    Akitoka hapo naye akapimwe mkojo na huko kuumwa huko nna mashaka nako sio kwa kawaida lazma wamemfanya kitu......ndo nchi yetu ya sasa ukiongea kidogo kesho central then unapimwa mkojo then unabinywa vya kutosha then life inaendelea unakaa kimya Sent using Jamii Forums mobile app
  11. hudson junior

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Naona wamemkamata wakampime mkojo labda.....ila jamaa wanampa kiki tu ingekua kweli hawamtaki wangeenda wakamteka tu fasta wakampa adabu au kumpga tu risasi afe na hakuna ambaye angeuliza na ambaye angeuliza naye angetekwa tu Hapa ni mwendo kama wa NORTH KOREA Sent using Jamii Forums mobile app
  12. hudson junior

    KIBITI: Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mangwi wauawa kwa kupigwa risasi

    This i jus a small thing of something big n worse coming get prepared....hata libya congo somalia syria ilianza hvo hvo kidogo kidogo
  13. hudson junior

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Kabisa yani hii ndo dawa sahihi kabisa
  14. hudson junior

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Me naona kupunguza hilo tatzo la nyeto ni kutoa elimu ya madhara yake na jinsi ya kukabiliana nayo na pia watu wawahi kuanza wakiwa na umri mdogo ili wanapokua wanabalehe wawe wamefika mbali kielimu na sio secondary mfano mtu akiamalza form four akiwa na miaka 14 or 15 hii itasaidia kwani...
  15. hudson junior

    Natafuta mtandao wa kusoma online kwa video

    pluralsight.com Ni free miez 3 unatumia account ya Microsoft
Back
Top Bottom