Recent content by Hubiri

  1. Hubiri

    Ikiwa tangu enzi Viongozi wetu wa dini walivaa hivi kwanini sisi tuvae tofauti kinyume na maadili...

    Heee! huyu naye eti kanzu na hijabu kabisa,uislam ndo dini ya haki. kuvaa hivo ndo ishara ya kwamba mtu anaenda peponi au paradiso? kila nchi ina utamaduni wake,pia acha kuiga iga ovyo ovyo
  2. Hubiri

    Mbunge wa CCM akutwa na bunduki 11 zinazosadikiwa kutumika kwa ujangili

    Aaaaah! chama cha mapinduzi ccm na namba onee
  3. Hubiri

    Mwendokasi sasa shidaa!!

    mwendokasi unaua,tafadhali endesha pole pole.
  4. Hubiri

    Hivi ni kweli miti hujongea/kuwasiliana na kuna aina fulani ya miti ina miujiza?

    mmmh hapo kuna wizara ya mambo ya rohoni inahusika
  5. Hubiri

    Wanafunzi waachwe wasome

    mi mwenyewe nataka nirudi shule nivunje rekodi iliyowekwa na yuleeee bibi wa kenyaaaaa
  6. Hubiri

    Tetesi: Christiano ronaldo na Gareth BALE

    ngoja tuwasubiri wachabuzi wengine waje Ova
  7. Hubiri

    Mkuu wa Wilaya ya Geita kapiga marufuku mikesha ya waumini wa kikristo

    amekichoka cheo alichepewa anataka akale nyasi kama nebukadreza
  8. Hubiri

    Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

    UPO SAHIHI MAANA WANADAMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA WANAPENDA SANA KUFUATA YALE WANAYOYAONA SIO YALE WANAYOYASIKIA.HERI ANAYEPENDA KUFUATA YALE ANAYOYASIKIA MAANA IMANI CHANZO CHAKE NI KUSIKIA
  9. Hubiri

    UDART majanga, hakuna huduma tangu saa 4 asubuhi

    Mbaka Saa hii Hakuna huduma ni majanga kweli kweli
  10. Hubiri

    Kutoka Mahakamani: Scorpion afutiwa shtaka unyang'anyi wa kutumia silaha na kujeruhi

    sasa unathibitisha kuwa jamaa kibaka au una mtetea!!?
  11. Hubiri

    Wanasayansi kuunda taifa jipya anga za juu

    Akili zikizidi sana mwisho huitwa ukichaa
Back
Top Bottom