Tatizo la wachangia mada hapa hawajui stori nzma ndo maana wanahara tu huku.am proud kuwa wa arusha bt sad kuzaliwa tz. Mtu alyezuia wanafunz wasiandamane kwenda kwa mkuu wa mkoa ndo alochochea vurugu.kwelii?poor thkng.jpangen upya mnakera na ujinga wenu. Hatutak mashindano arusha ni ya lema...
ccm hawakuelewa wanamuongezea huyu jamaa umaarufu sasa hili pigo lake watajutia maisha yao yoteee. nchi nzima ishamjua lema wamemlainishia njia yake ya kuzambaza injili ya CdmTanzania..kazi ipo magamba leteni nyingine tuwazike.
piiiiipoooooooooooooooooziiiiiiiiii
Lema mwenyewe akiitamkaga hyo...
Katiba yetu wengi inatutia kiwewe tanzania mtt wa miaka 16 and above anaruhusiwa kuolewa lkn under 18 hana hatia upuuuzi mtupu guilt or innocent this country is sick.. Sk kashapumzika he was a grt hero but met his death in a shameful way lord forgive to say this..pipo lets do wat t takes to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.