Una maanisha nini? Nataka kubobea zaidi kwenye Taaluma hii ya HR na Qualification zinazohitajika level ya Masters ninazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu habari za muda huu mimi ni mhitimu wa Shahada ya Rasilimali watu (BHRM) kwa sasa nahitaji kujiendeleza katika Ngazi ya Shahada ya Uzamili (Masters in HRM) chuo kikuu huria Tanzania kwa mwaka wa Masomo 2023/2024.
Naomba kwa yoyote ambae aliwahi kusoma akafanikiwa kuhitimu kwa level...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.