Recent content by Hossam

  1. Hossam

    Arusha: Abiria wa Mikoani wamekwama!

    Tulia basi uelewe.
  2. Hossam

    Arusha: Abiria wa Mikoani wamekwama!

    Tangu alfajiri abiria wapo na hakuna dalili ya kwenda mikoani. Fununu zilizopo ni kuwa darajani kwa Msomali pamejaa maji. Naweka picha ya stendi ndogo Arusha. Tunaomba mwenye taarifa kamili asaidie. Pangu Pakavu.
  3. Hossam

    The Place Bar Moshono mnatuharibia watoto kwa muziki usiku kucha kila siku

    Naomba NEMC aisee muingilie kati. Hawa jamaa wa The Place bar Moshono Arusha wanapiga muziki kwa sauti ya juu sana usiku kucha. Majirani hapa hakuna kulala. Watoto usiku kucha ni kuhangaika nao tu. Naomba mamlaka husika zichukue hatua watoto wetu na hata sisi watu wazima tunashindwa kulala...
  4. Hossam

    Biashara ya Night Club Dar imekufa?

    Kama kule Moshono Arusha yaani The Place anapiga muziki kama ugomvi, hakuna kulala.
  5. Hossam

    Ujasusi Sebuleni Kwetu

    Hahahahaha
  6. Hossam

    Majina ya Ali (Ally) Katika Historia ya Kupigani Uhuru wa Tanganyika

    Mdini tu, na hapati faida yeyote
  7. Hossam

    Kalamu Yangu, Rais Ali Hassan Mwinyi na Kitabu: "Mzee Rukhsa" Safari ya Maisha Yangu"

    Anataka uelewe kuwa Waislamu ndiyo walipigania uhuru wa Tanganyika na history imewakandamiza tu. Umeelewa?
  8. Hossam

    Ijue hifadhi ndogo kuliko zote Tanzania

    Kwa kidhungu saanane ndiyo horizon mpwa
  9. Hossam

    Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

    Hahahahaha na michepuko kama ipo walipwe tu
Back
Top Bottom