Recent content by Horseman

  1. Horseman

    Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Kwanza pole kwa changamoto. Jambo la kwanza nakushauri kama hujampokea Bwana Yesu kama mwokozi wa maisha yako fanya hivyo. Baada ya hapo wewe hutakuwa tena umeunganishwa na hizo madhabahu. Cha pili, sambamba na maombi itabidi kushughulikia badilisho la ufahamu wako na kutambua uhalisi wa kile...
  2. Horseman

    Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

    Wanakera kwa kweli, tena ukute kasoma ana ma degree kalelewa na mama ndio shida tupu.
  3. Horseman

    Ni sahihi kuvaa jeans na raba Kanisani?

    Kama zimevaliwa kwa heshima, ni sawa kabisa pasi Shaka yoyote.
  4. Horseman

    Usichojua kuhusu chakula. Chakula kina siri kubwa kwenye Ulimwengu wa roho

    Ndugu, rudi tulia,, soma tena Biblia yako vizuri. Soma kwa muktadha na elewa maana halisia ya mistari uliyotumia.
  5. Horseman

    Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

    Ukisoma maandiko utagundua hakuna sadaka unayotoa kwa lazima. Fungua moyo wako kwa Mungu wako, amekubariki,mtolee kwa imani na kwa upendo.
  6. Horseman

    Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

    Aliyafanya yote yapaswayo kufanywa katika tamaduni ya myahudi wa wakati huo. Naye mama yake vivyo hivyo alitenda sawa na taratibu za mwanamke wa Kiyahudi. Asante.
  7. Horseman

    Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

    Mungu kakuumba na utashi unaokuwezesha uchague unavhotaka. Ila anakushauri umsikilize Yeye maana atakupa jawabu bora kwa kila utakalouliza. Lakini mwanadamu unajifanya akili nyingi kisa tu umeumbwa kwa sura na mfano wake. Ukipata matokeo ya uchaguzi wako unarudi kulalamika kuwa Mungu hayupo...
  8. Horseman

    Askofu Gamanywa amuomba Waziri Simbachawene serikali iunde Tume ya Maadili ya Viongozi wa Dini na mwenyekiti ateuliwe na Rais!

    Mmmh! Unaomba serikali iamue mambo ya imani, sidhani kama hilo limekaa sawa. Labda ndani ya mikusanyiko ya kimadhebu kwa mfano pentecostal waunde chombo hicho na wakisimamie wao kwa umoja wao na kanuni zao na imani yao. Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.” Basi Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari kilicho...
  9. Horseman

    Babu akasema: Pesa ina maadui wawili mjukuu wangu

    Imeandikwa kwa utulivu hii. Mengi ya kujifunza humu.
  10. Horseman

    Tafadhali naomba kujua ni Maombi gani hapa Mwenyezi Mungu anayependa na Kuyabariki upesi?

    Kwenye maombi muda sio kipaumbele sana lakini content ya maombi yako ndio kinachokubeba zaidi. Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. Mathayo 6:7 SUV
  11. Horseman

    Mdogo mdogo Wahaya wanarudi kuwekeza kwao. Bukoba itarecover one-day hata Kama serikali haipajali

    Safi sana, pongezi kubwa sana kwao. Nadhani mindset kama hii ikitiliwa mkazo kwa mikoa mingine changamoto nyingi sana zitatatulika kwa nguvu kidogo ya serikali. Ni kuomba tu watu kama hawa wawekewe wepesi kwenye uwekezaji wanaofanya. Heko kwenu Wahaya.
  12. Horseman

    INAUZWA Godoro la 5x6 inchi 10 linauzwa

    Asante kwa offer mkuu limeshauzika
  13. Horseman

    INAUZWA Godoro la 5x6 inchi 10 linauzwa

    Tayari limeuzwa
  14. Horseman

    INAUZWA Godoro la 5x6 inchi 10 linauzwa

    Wakuu tayari limeuzwa
  15. Horseman

    INAUZWA Godoro la 5x6 inchi 10 linauzwa

    Godoro ni kama jipya kabisa lina inchi 10 kwa kitanda cha 5x6 liko maeneo ya Kkoo. Bei 110,000 ila mazungumzo yapo.
Back
Top Bottom