Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,300
- 2,716
Kuhani mussa mwacha anakuja juu. Mutu ya kongo hiyo inahubiri injili ya miujiza. Baba yake aliyemlea Mulilege mukombo alias Mzee wa yesu yuko wapi.
Kuna mgogoro mkubwa Kati ya Makanisa ya Kinabii na haya ya kawaida ya kina Gamanywa na Kina Kakobe!Kivipi bwashee?
Nimekuelewa.Kuna mgogoro mkubwa Kati ya Makanisa ya Kinabii na haya ya kawaida ya kina Gamanywa na Kina Kakobe!
Mmmh! Unaomba serikali iamue mambo ya imani, sidhani kama hilo limekaa sawa. Labda ndani ya mikusanyiko ya kimadhebu kwa mfano pentecostal waunde chombo hicho na wakisimamie wao kwa umoja wao na kanuni zao na imani yao.Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.
Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.
Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.
Source: Wapo Radio/ Shallom tv
Serikali inashindwa kusimamia mashirika yake na bila kujali manufaa yake kwa wananchi wanaamua kuyaua kwa makusudi bila sababu yoyte ya msingi.Amesema Bakwata, TEC, CCT na Pentecoste watakuwa na uwakilishi kwenye Tume kwa kutoa wajumbe!
Tatizo ni nini bwashe hadi Ngamanywa kufikia hatua ya kuomba hiyo tume? Viongozi wa Dini wanamisbehave?Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.
Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.
Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.
Source: Wapo Radio/ Shallom tv
Hali ni tete..... Kuna Mtume na Nabii ana wake wanne!Tatizo ni nini bwashe Hadi Ngamanywa kufukia hatua ya kuomba hiyo tume? Viongozi wa Dini wanamisbehave?
tunampendekeza awe yeye,naona anataka cheo kwa msuli
Hahahahaha .......Sasa hiyo si wanam-excummunicate tu wao? Tume ya kazi gani hapo?Hali ni tete..... Kuna Mtume na Nabii ana wake wanne!
Mbona kama vile hujatueleza vitega uchumi vyake tukaelewa vizuri sheikh,Nadhani hujafamu vizuri uwezo alionao Mch. Gamanywa kwa uhalisia hata Kakobe aliyekutwa na bil 6 bank hampati. Huyo analingana na hadhi ya Mwingira wa efatha.
Ana pesa ya kutosha tuu. Ana uwezo wa kununua kiwanja mil 400. Yuko vizuri mpakwa mafuta wa bwana. Nadhani hata gwajima hampati kwa pesa huyo mtumishi.
Wakati anasimuliaga huduma aliyolelewa ndio walimsumbua sana alipoanza ya kwake, mpaka kumfanyia figisu kwa rushws ili azuiwe kuhudumu,Kuhani mussa mwacha anakuja juu. Mutu ya kongo hiyo inahubiri injili ya miujiza. Baba yake aliyemlea Mulilege mukombo alias Mzee wa yesu yuko wapi.
Inaonesha wazi hii ilimlenga Gwajima hadi ukashindwa ficha hisia zako na kumwandika katika habari.Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.
Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.
Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.
Source: Wapo Radio/ Shallom tv