Recent content by HORSE POWER

  1. HORSE POWER

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Nchi yetu haipo salama tena.Haipo salama kwa kiwango kikubwa
  2. HORSE POWER

    Imeshafikia hatua ya kuwakusanya watoto kwenye mikutano

    Ama kweli hamkani si shwari kwa Chama Cha Majizi.Wenye kujitambua hawana muda wa kusogea kwenye 'maonyesho' yao. Zoa zoa na kusanya kusanya kwengineko kujaza mikutano sasa inakwenda mbali zaidi.Sasa ni kukusanya na wanafunzi kujaza mikutano bila ya kujali ni Jumapili au likizo.Nimejionea...
  3. HORSE POWER

    Mtandao wa barabara nchi nzima umeanza kuporomoka!

    Mitano mingine nchi inakwenda kuangamia maana majizi yanakwiba usiku na mchana bila ya hofu.
  4. HORSE POWER

    Watanzania wamechoka, usisubiri mambo yaharibike sana

    Mazingira ya namna hii yakimkuta kiongozi yeyote yule pale alipo,kama atakua anajitambua bila shaka atang'amua kwamba amepoteza uhalali wa kuwa madarakani
  5. HORSE POWER

    Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

    Unajua mnaposema wahuni bado ni neno zuri.Hilo ni genge la majambazi.Genge hili limeteka nyara kila kitu kiasi kwamba hata wa kuishi ofisi kuu wanaamua wao.Ni genge hatari na ndilo linslofilisi nchi.
  6. HORSE POWER

    Rais wetu kipenzi hujachelewa, rekebisha eneo hili maana hakuna aliyetoka salama

    Inakuaje kama nchi inaongozwa na 'parallel government'? Genge la majizi lenye nguvu kubwa kuliko Serikali halali.
  7. HORSE POWER

    Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    Huyu nae kumbe ni kiazi tu.Pesa imempa ulevi kichwani.
  8. HORSE POWER

    Kesi ya Uhaini ya Lissu: Jamhuri yakosa mashahidi!

    Hili ndio tatizo la kesi 'za kupikwa.' Mawakili hawana kutetea wasichoamini maana hawana namna
  9. HORSE POWER

    Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

    Hoja nyeti sana lakini mmoja amejibu kwa uelewa wake.Lakini je wale wanaosema hakuna Mungu,wewe wao wenyewe haitoshi kuwa ni alama ya uwepo wake?
  10. HORSE POWER

    GE2025 Profesa Kabudi: Tunafanya Uchaguzi Mkuu mwaka huu katika mazingira bora kuliko yote tangu tupate Uhuru

    Maptofesa wetu hao Tanzania.Wakishiba huwa vipofu na weledi hukaa likizo.
Back
Top Bottom