Recent content by Horace Byatt

  1. Horace Byatt

    Hebu tumwogope Mwenyezi Mungu Jamani! Hivi kweli ni Halali?

    Wewe naona umeishiwa! Pole kwa kuposti utumbo!
  2. Horace Byatt

    Hebu tumwogope Mwenyezi Mungu Jamani! Hivi kweli ni Halali?

    Ndo nakwambia; usishangae mtu kufua chupi, yamkini hayo ni makubaliano yao. Kama hajalalamika mtuhumiwa mwenyewe, na haujui makubaliano yao wakati wa ajira, nyamaza kimya. Joyce kiria wewe!!! Kwenda uko.
  3. Horace Byatt

    Hebu tumwogope Mwenyezi Mungu Jamani! Hivi kweli ni Halali?

    Watu wanakubalana kujitoa mhanga wa kufa huko Syria sembuse kufua chupi. Fikiria kwa mapana mjomba!
  4. Horace Byatt

    Hebu tumwogope Mwenyezi Mungu Jamani! Hivi kweli ni Halali?

    Yawezekana kwamba hayo yalikuwa ni makubaliano wakati anaajiriwa. Kama hauna uhakika wa makubaliano yao siku anaajiriwa, funga domo lako na uache kuingilia mambo ya watu!!
  5. Horace Byatt

    Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

    Hiyo nafasi inahitaji mtu wa kuendeshwa na Marekani. A puppet leader. "Kama" JK anaweza kuwa puppet basi atafaa.
  6. Horace Byatt

    Kero za chuo cha IFM

    Ubora wa chuo unategemea na uwezo wako. Ungefaulu vizuri usingeenda IFM. Wewe ulipiga chache ndo maana umeponea IFM. Tulia babu, soma, ndo chuo stahiki ya uwezo wako.
  7. Horace Byatt

    Ulaaniwe Daktari X uliyesabababisha mke wangu kupoteza ujauzito

    Dah.. ulishaskia kwamfano mtu anasema. "Imekosewa sana kujenga barabara hapa kwa sababu mvua haitanyesha" Mtu kama huyu utaanza kumjibu?! au kumfundisha?! au kumuuliza?! Ndio hali nilionayo baada ya wewe kueleza kisa cha kukosewa dawa. Dah!
  8. Horace Byatt

    Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

    Takwimu za NEC zinaonesha hilo pia ndio jimbo pekee lililoharibu kura NYINGI kuliko majimbo yote Tanzania. Kwa kuongezea tu ni kwamba jimbo liliharibu kura chache kushinda yote ni kilindi Tanga.
  9. Horace Byatt

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kaka, peleka huu uzi wako kwenye uzi wa iringa. Hapa ni dar!
  10. Horace Byatt

    Mtoto wa Kingunge, Kinje amtaka baba yake aache kutumiwa

    Star tv inamilikiwa na Kada wa CCManaitwa Antony Diallo. So you connect the dots!
  11. Horace Byatt

    TAHADHARI: Hii ndio nguo halali kwa ajili kwenda kupiga kura.

    Ili kutoonesha ishara yoyote ya kuwa mshabiki wa chama fulani wakati wa zoezi la kupig kura, ni vyema kuvaa nguo yenye rangi isiyowakilisha chama chochote cha siasa kwenye bendera za vyama husika. Je, ni rangi gani hasa ya nguo isiyowakilisha chama fulani cha siasa? Kijani-CCM Njano-CCM...
  12. Horace Byatt

    Hawa wote wanamsingizia Lowassa?

    Ccm out! Tena unajua watu wengi wa ccm ni wazee ambao wengi wao wameshaogopa kwenda kupiga kura kwa kuhofia fujo. Kwahio wapigakura wengi watakuwa ni vijana wanaoiunga mkono UKAWA. Lowassa anashinda
Back
Top Bottom