Recent content by hopetumaini

  1. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Tunazuia shughuli za kiuchumi kwa kigezo cha kukuza uchumi

    Habari za usiku wakuu. Nashangazwa sana na namna serikali inavyozuia shughuli za kiuchumi kwa kigezo cha kukuza uchumi. Mfano mzuri ni kuzuia kongamano la chadema mkoani mwanza, serikali inashindwa kutafakari kwamba kupitia kongamano hili kuna watu wengi wataingiza kipato ikiwamo na serikali...
  2. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Vituko kutoka kwenye Makanisa ya Kilokole -Tupia chako

    Soma luka 23:50.........,then utaelewa ni siku gani. Kama dunia nzima tunaadhimisha Ijumaa kuu kama siku ya kufa bwana wetu yesu kristo, na jumapili kama siku ya kufufuka bwana wetu yesu Kristo, basi utajua sabato ni siku gani. Pia ushaidi mwingine ni huu hapa wa baadhi ya dictionary.
  3. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Vituko kutoka kwenye Makanisa ya Kilokole -Tupia chako

    : Mwanzo2:2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. : Mwanzo2:3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na...
  4. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

    Shangazi kama shangazi!
  5. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Mkuu mgojwa hutibiwa magettoni au hospitali? Ukisoma vizuri nilichoandika utaelewa.
  6. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Mkuu hivi vipimo mashirika kama ICAP wanagawa bure ndio maana vikaitwa self-test.
  7. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Mkuu mimi niliacha kutumia condom kitambo kidogo, sababu sipati stimu kabisa. Kuhusu kupima ni jambo la hiari hivyo huwa nampa taarifa mlengwa mapema sana ili kama hayuko tayari tuhairishe game. Mimi nadhani kupima mara kwa mara ni njia mojawapo ya kujali afya yako.
  8. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Mkuu mara zote huwa na kipimo zaidi ya kimoja, nikimaliza kumpima mlengwa na mimi hujipima ili aone majibu yangu then tunapiga nyama kwa nyama. Lakini pia siku mrembo anayokuja magettoni huwa najipima kwanza alone ili nijijue niko katika state ipi.
  9. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Mkuu kwa wiki hizi mbili tatu nimekua muoga, nimeamua kubaki njia kuu kwa mpenzi wangu wa kudumu.
  10. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Hahaha, ndio maana naona moja ni kubwa kuliko nyenzake kumbe ni gonjwa!
  11. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Kondomu hainipagi mzuka kabisaa, mimi muumini wa nyama kwa nyama.
  12. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Mkuu hizi kits zinapatikana bure, kila mtu anaweza kuwa nayo wala sio siri, ni kwa usalama wako, ethics ni kuto kutoa taarifa za mteja na kuexpose confidential documents.
  13. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Viliniishia mkuu ndio maana nikachukua hiko cha ORA, ila kwa leo ndio nachukua hapa nikaweke magettoni.
  14. hopetumaini

    JamiiForums Tanzania Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Nilianza kumpima yeye majibu yalivyotoka mkanganyiko nikarudia tena yakaja kama mwanzo.
Back
Top Bottom